Kwani Kagame halisi yuko vipi mkuuKama ambavyo watanzania baadhi wanavyomhusudu Kagame bila kumjua vizuri
Kwani wale wanyama hawakukatiwa VISAInamaana ndiye aliyeshauri ujenzi wa Chato International Airport na Rusumo Wild Life pia uhamisho bila visa wa wanyama kutoka Serengeti na Ngorongoro!
Jiwe alikuwa amemblock msela wake kipindi kile amekwenda kutafuta asylum ChatoKuna kipindi Odinga alisema Magufuli anashahuriwa vibaya swala la Covid 19. Na kama ninakumbuka vizuri alisema anamtafuta ili hamshauri lakini hampati!!!
Nadhani huusiano wao ulikuwa mzuri wakati Magufuli akiwa waziri na miaka ya mwanzo alipoingia ikulu lakini. Hata kuna picha walikuwa wanakutana kifamilia. Lakini baadae urafiki ulififia baada ya Magufuli kukwaruzana sana na Uhuru!Jiwe alikuwa amemblock msela wake kipindi kile amekwenda kutafuta asylum Chato
Au sio, kwahyo aliekua anamfadhili Sabaya kufanya yale ni humjui auDarasa la Saba kwenye ubora wako. Umekaririshwa mwenyewe, sasa hivi unaropoka tu.
Wewe una umuhimu gani kwa mgombea wa Kenya? Wewe hata mnyika anakujua?Kwenye uchaguzi wa kenya safari hii sina upande wa kuunga mkono.
Maana Ruto naye ni sawa na nyoka tu maana kwa siasa anazo zifanya anaonekana yuko pale kwa ajili ya madaraka tu.
Raila naye baada ya kujitangaza kuwa yeye roll model wake ni jiwe tayari nisha mtoa kwenye akili zangu.
Wacha tuendelee kusubiriUtaufahamu baada ya muda kwa sasa tuendelee
Umeulizwa swali badala ya kujibu ulichoulizwa unaanza kubeza na kutukana!!!!Darasa la Saba kwenye ubora wako. Umekaririshwa mwenyewe, sasa hivi unaropoka tu.
Nami nilisha kata mawasiliano kabisaHuyo Raila sijawahi mkubali Toka nilipojuwa ni rafiki wa jiwe nilimwona kama juha kalulu
West Africa wanamjua Magufuli kuliko Tanzania. Walinishangaza sana.Ukitembelea nchi nyingine za Africa kama Nigeria, Ghana na kadhalika. Kikwete pamoja na kuwa raisi miaka 10 na kutembea sana nje ya Tanzania lakini wengi hawamjuhi kama Magufuli pamoja na kutosafiri nje ya Tanzania!!
Kwenye uchaguzi wa kenya safari hii sina upande wa kuunga mkono.
Maana Ruto naye ni sawa na nyoka tu maana kwa siasa anazo zifanya anaonekana yuko pale kwa ajili ya madaraka tu.
Raila naye baada ya kujitangaza kuwa yeye roll model wake ni jiwe tayari nisha mtoa kwenye akili zangu.
Hizo tuhuma zote dhidi ya JPM Zina ushahidi wowote?! Au ni porojo tu za Chadema.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Ndiye aliyemfundisha na kupiga wapinzani risasi? Kwa hiyo akiingia Ikulu kina Musyoka wasubiri risasi 38?Mgombea urais wa Kenya anayeungwa mkono na wananchi wengi nchini humo mh Raila Odinga amesema yeye alikuwa ni Mshauri wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Magufuli.
Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
Source: Kenyans. co.ke
My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.
Naamini unamaanisha it was not okay kuwapeleka wale wanyama Burigi but it was okay kuwapandisha ndege wanyama kama twiga na kuwapeleka UAEInamaana ndiye aliyeshauri ujenzi wa Chato International Airport na Rusumo Wild Life pia uhamisho bila visa wa wanyama kutoka Serengeti na Ngorongoro!