johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Mgombea urais wa Kenya anayeungwa mkono na wananchi wengi nchini humo mh Raila Odinga amesema yeye alikuwa ni Mshauri wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Magufuli.
Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
Source: Kenyans. co.ke
My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.
Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
Source: Kenyans. co.ke
My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.