Raila Odinga adai alikuwa ni Mshauri wa Rais Magufuli na alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya nchi. Ngoja tuone 2025 hapa nyumbani!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,891
141,824
Mgombea urais wa Kenya anayeungwa mkono na wananchi wengi nchini humo mh Raila Odinga amesema yeye alikuwa ni Mshauri wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Magufuli.

Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.

Source: Kenyans. co.ke

My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.
 
Mgombea urais wa Kenya anayeungwa mkono na wananchi wengi nchini humo mh Raila Odinga amesema yeye alikuwa ni Mshauri wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Magufuli.

Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.

Source: Kenyans. co.ke

My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.
Huyu sio wa kumuamini kabisa maana hata anavyoongea uyadhani mtoto anajifunza kuongea. Hawa waliiba wote. Odinga is sick.
 
Mgombea urais wa Kenya anayeungwa mkono na wananchi wengi nchini humo mh Raila Odinga amesema yeye alikuwa ni Mshauri wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Magufuli.

Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.

Source: Kenyans. co.ke

My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.
Kwahyo hata mambo ya kumpiga Tundu Lissu risasi, na kupotea kwa akina ben Saanane na yale ya kupotea kwa 1.5tr yooote kamfundisha yeye baasi wakenya wana bahati ya kuwa na mtu kama yeye
 
Nimeona hii habari mahala Odinga anajinasibu kuwa mastermind wa Magufuli, labda ndio kwasababu ya ule ukaribu wao.

Huo ushauri wa kupata pesa kwa ajili ya maendeleo ya nchi ni upi? kama ni kukopa bora asingemshauri, au kupora matajiri pesa zao? napo bora asingemshauri.

Naona Raila anamtumia Magufuli kama kete yake ya kugombea urais, najua wakenya walikuwa wanamkubali Magufuli kwasababu ya uzalendo wake na kuwachukia wezi.

Ila sijajua walikuwa wanamfuatilia kwa kiasi gani zaidi ya kumsoma/kumsikia juu juu kwenye vyombo vya habari.
 
Alipendwa sana na walio wanyonge ambao ni wengi. Ila ukitaka kujua ubaya wa wanyonge wape nchi au nchi iendeshwe kwa matakwa yao. Baada ya miaka 10 inageuka jangwa, nchi ya umasikini wa kutupwa halafu wanyonge waliokuwa wanakushangilia wanakulaani.

Huamini? Wape wanyonge waitunze ngorongoro na serengeti halafu subiri baada ya miaka kadhaa kama utawaona wanyama na watalii.

Wape maeneo ya makazi yaliyopangwa vizuri yenye miti halafu subiri baada ya muda.

Wafanye matajiri wawe mashetani halafu wakishakuwa mashetani wape kazi wnyonge wajichange kodi ipatikane.

Mifano ni mingi kama huamini.

MWANASIASA ANATAFUTA KURA ZA WANYONGE, UKIPENDWA NA WANYONGE UNA TIKETI YA UONGOZI ILA SASA......
 
Mgombea urais wa Kenya anayeungwa mkono na wananchi wengi nchini humo mh Raila Odinga amesema yeye alikuwa ni Mshauri wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Magufuli.

Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.

Source: Kenyans. co.ke

My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.
Unajua ni wakati gani hilo neno MY TAKE linatumika?
 
Kwahyo hata mambo ya kumpiga Tundu Lissu risasi, na kupotea kwa akina ben Saanane na yale ya kupotea kwa 1.5tr yooote kamfundisha yeye baasi wakenya wana bahati ya kuwa na mtu kama yeye
Kwenye uchaguzi wa kenya safari hii sina upande wa kuunga mkono.

Maana Ruto naye ni sawa na nyoka tu maana kwa siasa anazo zifanya anaonekana yuko pale kwa ajili ya madaraka tu.

Raila naye baada ya kujitangaza kuwa yeye roll model wake ni jiwe tayari nisha mtoa kwenye akili zangu.
 
Nimeona hii habari mahala Odinga anajinasibu kuwa mastermind wa Magufuli, labda ndio kwasababu ya ule ukaribu wao.

Huo ushauri wa kupata pesa kwa ajili ya maendeleo ya nchi ni upi? kama ni kukopa bora asingemshauri, au kupora matajiri pesa zao? napo bora asingemshauri.

Naona Raila anamtumia Magufuli kama kete yake ya kugombea urais, najua wakenya walikuwa wanamkubali Magufuli kwasababu ya uzalendo wake na kuwachukia wezi.

Ila sijajua walikuwa wanamfuatilia kwa kiasi gani zaidi ya kumsoma/kumsikia juu juu kwenye vyombo vya habari.
Hivi huo uzalendo wa magufuli ni upi haswaaa?
 
Kwenye uchaguzi wa kenya safari hii sina upande wa kuunga mkono.

Maana Ruto naye ni sawa na nyoka tu maana kwa siasa anazo zifanya anaonekana yuko pale kwa ajili ya madaraka tu.

Raila naye baada ya kujitangaza kuwa yeye roll model wake ni jiwe tayari nisha mtoa kwenye akili zangu.
Wewe subiri uchaguzi wa Msumbiji
 
Nimeona hii habari mahala Odinga anajinasibu kuwa mastermind wa Magufuli, labda ndio kwasababu ya ule ukaribu wao.

Huo ushauri wa kupata pesa kwa ajili ya maendeleo ya nchi ni upi? kama ni kukopa bora asingemshauri, au kupora matajiri pesa zao? napo bora asingemshauri.

Naona Raila anamtumia Magufuli kama kete yake ya kugombea urais, najua wakenya walikuwa wanamkubali Magufuli kwasababu ya uzalendo wake na kuwachukia wezi.

Ila sijajua walikuwa wanamfuatilia kwa kiasi gani zaidi ya kumsoma/kumsikia juu juu kwenye vyombo vya habari.
Kama ambavyo watanzania baadhi wanavyomhusudu Kagame bila kumjua vizuri
 
Inamaana ndiye aliyeshauri ujenzi wa Chato International Airport na Rusumo Wild Life pia uhamisho bila visa wa wanyama kutoka Serengeti na Ngorongoro!
Inawezekana ikawa hivyo na alishauri ile staili ya kupiga push up
 
Back
Top Bottom