nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Tanzania tulikuwa wapatanishi na waheshimiwa sana Ulimwenguni. Tulijijengea sifa kubwa sana, yale yote yaliyofanyika na watangulizi leo yamekuwa matope
Imagine Raila kuja Tanzania kumshawishi Rais afuate taratibu za kitaalamu ili kutokomeza ugonjwa. Tumekuwa hatuaminiki kabisa.
Awamu iliyopita ilijenga diplomasia kiasi kwamba kila Nchi kubwa America, China, India zilikuwa zinapishana angani kuja Tanzania kutangaza misimamo na sera zao leo
Uingereza imeondoa raia wake, ili kuwakoa wasije kufia ugenini ikawa aibu kwa Taifa kubwa kama British.
Nashauri tu wataalamu waachiwe na Ndugulile arudishwe ili tutengeneze takwimu vizuri maana huyo mwingine hatumjui halafu hatuna historia yake kikazi. Hapa muhimbili hajui hata malango wa kukingilia.
Tanzania tuko chini kiasi hiki?
Yaani ili kutuonyesha kuwa upinzani sio Ugomvi au vita au Fitina Raila katumwa na Raisi wa Kenya aje apatanishe atuweke sawa.
Hongera sana wa Kenya kwa kutujali.
Imagine Raila kuja Tanzania kumshawishi Rais afuate taratibu za kitaalamu ili kutokomeza ugonjwa. Tumekuwa hatuaminiki kabisa.
Awamu iliyopita ilijenga diplomasia kiasi kwamba kila Nchi kubwa America, China, India zilikuwa zinapishana angani kuja Tanzania kutangaza misimamo na sera zao leo
Uingereza imeondoa raia wake, ili kuwakoa wasije kufia ugenini ikawa aibu kwa Taifa kubwa kama British.
Nashauri tu wataalamu waachiwe na Ndugulile arudishwe ili tutengeneze takwimu vizuri maana huyo mwingine hatumjui halafu hatuna historia yake kikazi. Hapa muhimbili hajui hata malango wa kukingilia.
Tanzania tuko chini kiasi hiki?
Yaani ili kutuonyesha kuwa upinzani sio Ugomvi au vita au Fitina Raila katumwa na Raisi wa Kenya aje apatanishe atuweke sawa.
Hongera sana wa Kenya kwa kutujali.