Raia wanaouana ni wengi kuliko mauaji wanayofanya Polisi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,554
44,725
Hata vitabu vya kinabii vilisema nyakati za mwisho watu watakuwa wakatili.na ndivyo ilivyo watu.lawama nyingi wanapewa polisi lakini fuatilia mitaani matukio ya mauaji hayaishi.hatuwezi kusema kuwa Rais karuhusu hayo mauaji au anahusika.hata mazingira ya tukio la lissu.hao itakuwa Ni maadui zake nje ya siasa.ingekuwa serikali kweli imedhamiria kumuua Basi ingetimiza tu kwa sababu Ina walengaji hodari(masnaper).shoot moja TU unakufa.
 
Hata vitabu vya kinabii vilisema nyakati za mwisho watu watakuwa wakatili.na ndivyo ilivyo watu.lawama nyingi wanapewa polisi lakini fuatilia mitaani matukio ya mauaji hayaishi.hatuwezi kusema kuwa Rais karuhusu hayo mauaji au anahusika.hata mazingira ya tukio la lissu.hao itakuwa Ni maadui zake nje ya siasa.ingekuwa serikali kweli imedhamiria kumuua Basi ingetimiza tu kwa sababu Ina walengaji hodari(masnaper).shoot moja TU unakufa.
Kwaiyo tukusaidieje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu usitetee tu vitu kwakua wewe ni mwana CCM, hivi wewe unadhani ungekua raisi alafu unataka kuvunja katiba kwa kuamuru mauaji ya mwanasiasa wa upinzani ungemfuata afande mabeyo akupe walenga shabaha? au ungemwambia kipilima au siro?? tumia akili mkuu mambo kama hayo hufanya na cycle ndogo sana ya watu na sio lazima wawe walenga shabaha wazuri bali kinachotakiwa ni wawe wasiri na wenye uhusiano binafsi na wakudumu na wewe. Ukiwa rais uhusiano wako na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ni wakikazi zaidi, japo watakua watiifu kwako lakini siku ukiondoka tu utiifu huo unahamia kwa rais mpya, hivyo mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuwatumia hao unaowaita walenga shabaha hodari kwenye clandestine activities zake binafsi.
NB. simshutumu mtu yeyote kuhusiana na kushambuliwa kwa lisu bali najaribu kukuonesha kuwa point yako haina mashiko.
 
Sijui kama tumefikia huku. Basi nashauri polisi waongeze kazi ya kuua ili mauaji yalingane. Ila mjue hata ninyi mtakufa.
 
Kwa nini serikali inahusishwa? He is the CHIEF WHIP, CHIEF CRITIC. Pili, alishasema anafuatiliwa, hakupewa ulinzi. Tatu, hakuna taarifa za upelelezi juu ya waliojaribu kuondoa uhai wake, zaidi ya lame excuses zinazotolewa na wanaohisi wanaisemea serikali. Hoja kwamba serikali ina snipers nayo inakosa nguvu, kuna botched operations nyingi tu hata kwa taasisi zinazoheshinika kama CIA, MOSSAD, M16, KGB etc
 
Leta kifungu cha sheria ambacho kinasapoti haya uliyoandika.. Inaoneka siku hizi kazi ya jeshi la polisi sio kulinda watu na mali zao.
 
Hata vitabu vya kinabii vilisema nyakati za mwisho watu watakuwa wakatili.na ndivyo ilivyo watu.lawama nyingi wanapewa polisi lakini fuatilia mitaani matukio ya mauaji hayaishi.hatuwezi kusema kuwa Rais karuhusu hayo mauaji au anahusika.hata mazingira ya tukio la lissu.hao itakuwa Ni maadui zake nje ya siasa.ingekuwa serikali kweli imedhamiria kumuua Basi ingetimiza tu kwa sababu Ina walengaji hodari(masnaper).shoot moja TU unakufa.

Ni hivi anachosema Lissu ndio hicho hicho cha kwamba siku za mwisho watu watakuwa wakatili, hapa hawajatengwa viongozi wakuu wala polisi. Tafuta Utetezi mwingine. Huu umeshindwa kujibu kilio cha Lissu.
 
Hata vitabu vya kinabii vilisema nyakati za mwisho watu watakuwa wakatili.na ndivyo ilivyo watu.lawama nyingi wanapewa polisi lakini fuatilia mitaani matukio ya mauaji hayaishi.hatuwezi kusema kuwa Rais karuhusu hayo mauaji au anahusika.hata mazingira ya tukio la lissu.hao itakuwa Ni maadui zake nje ya siasa.ingekuwa serikali kweli imedhamiria kumuua Basi ingetimiza tu kwa sababu Ina walengaji hodari(masnaper).shoot moja TU unakufa.


Wangekuwa na walengaji wazuri wasinge mshuti Akwilina ndani ya dala dala
 
mkuu usitetee tu vitu kwakua wewe ni mwana CCM, hivi wewe unadhani ungekua raisi alafu unataka kuvunja katiba kwa kuamuru mauaji ya mwanasiasa wa upinzani ungemfuata afande mabeyo akupe walenga shabaha? au ungemwambia kipilima au siro?? tumia akili mkuu mambo kama hayo hufanya na cycle ndogo sana ya watu na sio lazima wawe walenga shabaha wazuri bali kinachotakiwa ni wawe wasiri na wenye uhusiano binafsi na wakudumu na wewe. Ukiwa rais uhusiano wako na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ni wakikazi zaidi, japo watakua watiifu kwako lakini siku ukiondoka tu utiifu huo unahamia kwa rais mpya, hivyo mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuwatumia hao unaowaita walenga shabaha hodari kwenye clandestine activities zake binafsi.
NB. simshutumu mtu yeyote kuhusiana na kushambuliwa kwa lisu bali najaribu kukuonesha kuwa point yako haina mashiko.

Hatimaye ww ndio umeweka maelezo kwa usahihi. Hao wanaoleta utetezi wa kijinga wakae wakijua watu wana uelewa wa mambo wa kutosha. Ukitaka kufanya uovu huwezi shirikisha kila mtu kwani sio kila mtu anashiriki uovu, hata kama anaweza kuukalia kimya mambo yakiharibika.
 
Mikono yake binafsi ina damu ya jaribio hili la mauaji.

Alitamka hadharani kwamba wanaompinga sera zake za madini ni adui au msaliti vitani, na adui huwa inajulikana wanavyofanywa.

Masaa mawili baadae akashutiwa.

Watangazaji redio wa Rwanda waliwekewa damu ya Warwanda kwa kusema vitu kama hivi.

Nini kinaweza kuwa uchochezi mbaya zaidi ya Mkuu wa Nchi kusema wanaompinga wanastahili kufanywa wanachofanywa maadui vitani?
 
Hata vitabu vya kinabii vilisema nyakati za mwisho watu watakuwa wakatili.na ndivyo ilivyo watu.lawama nyingi wanapewa polisi lakini fuatilia mitaani matukio ya mauaji hayaishi.hatuwezi kusema kuwa Rais karuhusu hayo mauaji au anahusika.hata mazingira ya tukio la lissu.hao itakuwa Ni maadui zake nje ya siasa.ingekuwa serikali kweli imedhamiria kumuua Basi ingetimiza tu kwa sababu Ina walengaji hodari(masnaper).shoot moja TU unakufa.
Ungetuwekea hapa kwa majina hao masnichi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata vitabu vya kinabii vilisema nyakati za mwisho watu watakuwa wakatili.na ndivyo ilivyo watu.lawama nyingi wanapewa polisi lakini fuatilia mitaani matukio ya mauaji hayaishi.hatuwezi kusema kuwa Rais karuhusu hayo mauaji au anahusika.hata mazingira ya tukio la lissu.hao itakuwa Ni maadui zake nje ya siasa.ingekuwa serikali kweli imedhamiria kumuua Basi ingetimiza tu kwa sababu Ina walengaji hodari(masnaper).shoot moja TU unakufa.
Leo umewehuka, umeandika threads nyingi za kujifanya mtetezi wa serikali ktk sakata la uonevu kwa wapinzani. Lakini hujajiuliza ni kwanini awamu ya 5 imetuhumiwa sana kuliko zilizotangulia. Japo na penyewe kuna matukio kama ya kina Ulimboka, mabomu ya Arusha na wengine.

Kikubwa safari hii kuna matamko yanayoanza kabla ya matukio yenyewe. Mfano unapomuagiza spika akawatoe nje, ili wakose kinga ya bunge halafu washughulikiwe, na kweli yanatokea !!!! Sijui unatetea nini ?! Pili mtu anasema kawambie wenzio wataozea magerezani na kweli unaona kuna juhudi za kuwaweka wapinzani wote wakubwa ndani. Si sawa. Haya madaraka ni ya muda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom