Raia wa Uganda abuni baiskeli kwa kutumia mianzi na vyuma chakavu

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Raia wa Uganda, Noordin Kasoma abuni Baiskeli kwa kutumia mmea wa muanzi. Anatumia baskeli za chuma zilizochakaa na kubadili sehemu kubwa kwa kuweka mianzi

Baiskeli hizo zimejizolea umaarufu kutokana na upekee wake. Anaziuza kwa Dola 350 hadi 450

Anasema watu wengi wanazipenda kutokana kuwa nyepesi na kumudu kutembea kwenye barabara za vumbi

Zinatumiwa kwenye mashindano mbalimbali ya Baiskeli nchi humo

=====

UGANDA (REUTERS) - In his workshop in Uganda's capital Kampala, Mr Noordin Kasoma is busy building bike frames.

But rather than the usual carbon fibre or metal, these frames are made from bamboo, a material Mr Kasoma says is both cheap and tough.

"Bamboo is flexible; due to that flexibility, it gives that kind of shock absorbing property when you're riding, especially off-road. The bamboo itself tries to absorb the shocks," said Mr Kasoma.

In Uganda, bamboo is plentiful, fast-growing and can be used sustainably. To make it safe, it is dried for several months and treated with insecticide.

Mr Kasoma takes broken steel bikes, replaces the frames and sells them on - providing a cheaper alternative to imported high-quality bikes.

Bamboo frames are relatively well known in the cycling world, and are a niche and expensive product in the US and Europe.

But Mr Kasoma's Boogaali brand comes with a special Ugandan twist.

The joints are reinforced with bark cloth, a traditional clothing material harvested from the inner bark of the Mutuba tree.

Mr Kasoma's bikes, which retail at between US$350 and US$450 (S$472 and S$608), have been sold to cyclists across East Africa and used at tournaments.

He says the bikes are proving so popular, he wants to step up a gear and expand his factory.

Missing out on our exclusive articles?
Get two weeks of free access to The Straits Times and experience the best work from the ST newsroom. No credit card required.
 
Nilidhani bei ingekuwa ya chini maana bamboo hupatiksna abundantly kwenye ukanda wetu.

Kwa bei hiyo, kwenye ukanda wetu ni ghali sana.
 
Any bicycle picture please ? In order to prove.

Sent from my Infinix-X551 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom