Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 10,339
- 32,351
Najua hauna akili.Uislam umeleta ustaarabu duniani. Tuuenzi siku zote.
Ila usijianike kiasi hiki sasa.
Najua hauna akili.Uislam umeleta ustaarabu duniani. Tuuenzi siku zote.
Akili tutatumia za mzee wakoNajua hauna akili.
Ila usijianike kiasi hiki sasa.
Ona ulivyohuna akili two wrongs doesn't make a rightUganda sio mbali uko Ulaya kibweteere Baba Mchungaji kawauwa Wakristo wenzie Mia900💀💀💀💀💀💀💀💀 lengo waende kwa YESU YESU Aleluyaaaaa🚮🚮
So ndio tuseme Ukristo ni upumbavu kwann YESU✝️✝️✝️ atumike kuwauwa watu kinyama kama vile mia 900☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️????
MCHUNGAJI Paul Makenzie kawauwa Wakristo wenzie mia700✝️✝️✝️✝️ lengo pia Wakristo waende kwa YESU YESU Aleluyaaaaa YESU sio mbali uko Ulaya ni jiran tu pale Kenya kesi bado ipo Mahakamani Je tuseme Ukristo ni Upumbavu ???
Ivi Kweli mtu mwenye Afya njema ya akili vipi afe kikondoo kondoo kama vile pale Uganda au Kenya????
Je tupige Vita Ukristo usiwepo kabisa mana chanzo cha mauaji makubwa sana????
Mbona kama wamepigana wenyewe uyu Mzungu kaaungushwa chin!!!
kwann Dini imebebeswa zigo la ugomvi wa watu wawili!!!!!!!!
Kwaiyo ingekuwa uyo Mzungu ndio kamtandika uyo kijana mngesema Mkristo kampiga Muislamu au mngetafuta neno lengine??
Propaganda za kitoto🚮🚮🫎🫎🫎
www.instagram.com
Ona ulivyohuna akili two wrongs doesn't make a right
Ukristo haufurahii mtu yeyote kuuawa. Hakuna Mkristo wa ukweli atakaye furahia Kobaz auawe. Ukristo haupo hivyo. Si Dini ya mauaji.Yan kobaz akimuua mzungu wakristo wanaumia sana lakn mzungu akiua kobaz wakristo wanashangalia sana
Hii inaitwaje? Kwako Mzee wa uharo