Raia wa nchi 11 kutoka Afrika mbioni kuruhusiwa kuingia nchi wanachama wa EU kuanzia Julai baada ya nchi hizo kufungua mipaka

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,442
3,353
Kwa mujibu wa Euronews orodha ya awali inaonesha raia wa nchi za Mozambique, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria na Morocco wataruhusiwa kuingia nchi za Umoja wa Ulaya (EU)

Inaelezwa huku Ulaya ikiwa inajiandaa kufungua mipaka, Maafisa wa nchi hizo wanajadiliana huko Brussels katika kutengeneza orodha ya nchi ambazo raia kutoka nchi hizo wataruhusiwa kuingia Ulaya

Euronews imeripoti kuwa Maafisa hao wameshindwa kuafikiana juu ya orodha ya nchi hizo na hivyo kuna uwezekano siku ya mwisho ya kufungua mikapa hiyo ikawa zaidi ya Julai 01, 2020

Imeelezwa kuwa Brazil, Qatar, Marekani na Russia hawapo kwenye orodha ya raia wake kuruhusiwa kuingia katika nchi za Umoja huo huku raia wa Uingereza wakiwa na haki sawa na raia kutoka nchi wanachama wa EU
====

Mozambique, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Egypt, Tunisia, Algeria and Morocco.

These are the African countries set to be allowed to enter the EU territory as the borders reopen in July, according to a draft list of the countries obtained and reported by euronews.

As the European Union gets ready to reopen its borders, officials in Brussels are debating behind closed doors, the draft of two lists; one with those countries that will be accepted, and one for those which will not, as the territory struggle to meet their previously announced July 1st goal.

The euronews sources also reported that officials “could not reach an agreement”, that talks would continue and that the deadline to open the borders may very well be extended beyond July 1st, suggesting agreements will not be forthcoming in time.

Notably, Brazil, Qatar, the US and Russia were not on the approved list while UK nationals still have the same rights as EU citizens, as the end of Brexit transition is not until the end of the year.
 
WATU KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA WANATARAJIA KURUHUSIWA KUINGIA ULAYA KUANZIA JULAI

- Orodha inadaiwa kuonesha raia wa Msumbiji, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria & Morocco kuruhusiwa kuingia nchi za Ulaya ifikapo mwezi Julai mosi 2020.

Hata hivyo Tanzania imekosekana pamoja na kujitangaza kuwa ni "COVID 19 free" tangia mwezi mei mwanzoni mwaka huu.
 
WATU KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA WANATARAJIA KURUHUSIWA KUINGIA ULAYA KUANZIA JULAI

- Orodha inadaiwa kuonesha raia wa Msumbiji, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria & Morocco kuruhusiwa kuingia nchi za Ulaya ifikapo mwezi Julai mosi 2020.

Hata hivyo Tanzania imekosekana pamoja na kujitangaza kuwa ni "COVID 19 free" tangia mwezi mei mwanzoni mwaka huu.
Sasa tukusaidiaje, kwa mfano?
 
WATU KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA WANATARAJIA KURUHUSIWA KUINGIA ULAYA KUANZIA JULAI

- Orodha inadaiwa kuonesha raia wa Msumbiji, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria & Morocco kuruhusiwa kuingia nchi za Ulaya ifikapo mwezi Julai mosi 2020.

Hata hivyo Tanzania imekosekana pamoja na kujitangaza kuwa ni "COVID 19 free" tangia mwezi mei mwanzoni mwaka huu.
unaipenda Tanzania sana eh??
 
WATU KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA WANATARAJIA KURUHUSIWA KUINGIA ULAYA KUANZIA JULAI

- Orodha inadaiwa kuonesha raia wa Msumbiji, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria & Morocco kuruhusiwa kuingia nchi za Ulaya ifikapo mwezi Julai mosi 2020.

Hata hivyo Tanzania imekosekana pamoja na kujitangaza kuwa ni "COVID 19 free" tangia mwezi mei mwanzoni mwaka huu.
Hatuna haja ya kwenda huko as long as watalii wanakuja hapa. Unafikiri tungekuwa na lockdown tungepata mawe mawili 14 kg ya Tanzanite
 
WATU KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA WANATARAJIA KURUHUSIWA KUINGIA ULAYA KUANZIA JULAI

- Orodha inadaiwa kuonesha raia wa Msumbiji, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria & Morocco kuruhusiwa kuingia nchi za Ulaya ifikapo mwezi Julai mosi 2020.

Hata hivyo Tanzania imekosekana pamoja na kujitangaza kuwa ni "COVID 19 free" tangia mwezi mei mwanzoni mwaka huu.
Masikini weeee !!!
 
Back
Top Bottom