digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,893
- 14,350
Shida yako nini,sasa nchi 11 out 50+ African nations, unaweza toa sababu za kwanini unahisi Tanzania iwemo ndani ya hizo nchi 11 ? Tunauspesheli gani sisi kuliko hizo nchi 40+ amabazo marekani hajazitaja?
Tatizo lenu mnayahusu sana mabeberu.
Tatizo lenu mnayahusu sana mabeberu.