Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,625
- 26,027
Lini Misri ilitangaza kuwa "covid19 free"?Ile tuzo ya MATAGA mnapeleka lini kwa Boss wenu?
Lini Misri ilitangaza kuwa "covid19 free"?Ile tuzo ya MATAGA mnapeleka lini kwa Boss wenu?
Misri wanafuata muongozo wa WHO kupambana na Corona. Nyie endeleeni kufuata muongozo wa Babu wa Loliondo. Mtaelewa tu!Lini Misri ilitangaza kuwa "covid19 free"?
Jibu swali wewe nyumbu.Misri wanafuata muongozo wa WHO kupambana na Corona. Nyie endeleeni kufuata muongozo wa Babu wa Loliondo. Mtaelewa tu!
Wanasubiri MIDEGE ya watalii wanaokuja Nchini....Vipi Mbowe na Zito Kabwe, wao wataingia au?
Kwani ameomba msaada?Sasa tukusaidiaje, kwa mfano?
Labda.Kwani ameomba msaada?
MATAGA hakuna kutua Ulaya. Endeleeni kujifukizaJibu swali wewe nyumbu.
Usifananishe Ginias na ujingaMisri wanafuata muongozo wa WHO kupambana na Corona. Nyie endeleeni kufuata muongozo wa Babu wa Loliondo. Mtaelewa tu!
Kwani hao ni raia wa nchi gani? Maswali mengine ya kitoto sana!!!Vipi Mbowe na Zito Kabwe, wao wataingia au?
Naona unabingirika bingirika tu. Huna lolote la maana..MATAGA hakuna kutua Ulaya. Endeleeni kujifukiza
Duh...!Labda.
Imekwisha hiyo!Duh...!
Naionea huruma TanzaniaInaelekea una pata tabu sana na corona
Si tuliitangazia dunia kuwa sisi ni mfano wa kuigwa? Mkawa mnasema kina fulani wanamuiga Magufuli? Vipi tena? Na kule Sweeden habari za Slaa tunazo!Ufipa kumejaa wajinga
Hiyo nayo Mada!!
Yaani nchi Za Africa zipo 54
Umeona Tanzania tu
Kwani huko Mbinguni