Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Huwa najiuliza nashindwa kuelewa confidence waliyonayo baadhi ya hawa raia wa India hata kufanya vitendo vya kibaguzi waziwazi bila hofu ya kuwapo ugenini.
Leo nimeingia duka moja la vitambaa kule posta ambako nilikuta utaratibu wa kuingia kwa card. Mwenye duka alikuwa kasimama mlangoni anataja kundi fulani labda namba moja hadi ishirini waingie.
Lakini cha ajabu utaratibu huu haukuwa consistency kwa watu wote, kwani customers wenye asili ya india na arabuni waliruhusiwa kuingia bila kadi au bila kufuata utaratibu wa card kwa mafungu ( batches).
Tulipomuhoji kwanini anakuwa mbaguzi alitujibu kwa kejeli ni duka yangu mnasemaje sasa. Tulimwambia tunatambua hilo, lakini hatujakwenda kuomba msaada...tuna pesa yetu kama walivyo wahindi wenzie. Na tumemshauri aweke kibao kwamba anahudumia raia wa india pekee, ili watu wengine wasitie mguu.
Leo nimeingia duka moja la vitambaa kule posta ambako nilikuta utaratibu wa kuingia kwa card. Mwenye duka alikuwa kasimama mlangoni anataja kundi fulani labda namba moja hadi ishirini waingie.
Lakini cha ajabu utaratibu huu haukuwa consistency kwa watu wote, kwani customers wenye asili ya india na arabuni waliruhusiwa kuingia bila kadi au bila kufuata utaratibu wa card kwa mafungu ( batches).
Tulipomuhoji kwanini anakuwa mbaguzi alitujibu kwa kejeli ni duka yangu mnasemaje sasa. Tulimwambia tunatambua hilo, lakini hatujakwenda kuomba msaada...tuna pesa yetu kama walivyo wahindi wenzie. Na tumemshauri aweke kibao kwamba anahudumia raia wa india pekee, ili watu wengine wasitie mguu.