Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
wadau naleta hoja jamvini ikibidi raia tuchukue hatua kwa kuzidi kuporomoka kwa shillingi yetu kila siku na hakuna hatua za madhubuti zinazochukuliwa na serikali yetu, leo dola 1 ni zaidi ya 1800/=Tshs.
Ifike wakati tuishinikize serikali ichukue hatua madhubuti na kuna hatua rahisi sana ambazo zinaweza chukuliwa mfano
1. Malipo yote yanayofanywa katika taasisi za serikali na zisizo za serikali yafanywe kwa fedha yetu ya madafu mfano wapangaji wote wa NSSF pale Mkapa tower walipe kwa Tshs, TCRA walipishe kwa Tshs, Bandari walipishe kwa Tshs na hata TRA nao walipishe kwa Tshs
2. Hoteli zote za ndani ya nchi zilazimishwe kuwatoza wateja wao kwa fedha zetu za madafu
3. manunuzi yote na malipo yote yanayofanyika humu ndani lazima yafanyike kwa Tshs
Kwani hata haya tunashindwa kuyafanya tunasubiri uingereza ituoe maelekezo ya ni cha kufanya?
Ifike wakati tuishinikize serikali ichukue hatua madhubuti na kuna hatua rahisi sana ambazo zinaweza chukuliwa mfano
1. Malipo yote yanayofanywa katika taasisi za serikali na zisizo za serikali yafanywe kwa fedha yetu ya madafu mfano wapangaji wote wa NSSF pale Mkapa tower walipe kwa Tshs, TCRA walipishe kwa Tshs, Bandari walipishe kwa Tshs na hata TRA nao walipishe kwa Tshs
2. Hoteli zote za ndani ya nchi zilazimishwe kuwatoza wateja wao kwa fedha zetu za madafu
3. manunuzi yote na malipo yote yanayofanyika humu ndani lazima yafanyike kwa Tshs
Kwani hata haya tunashindwa kuyafanya tunasubiri uingereza ituoe maelekezo ya ni cha kufanya?