Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,555
- 112,503
Zamu yake kulawitiwa.....
Wakamatwe wote na yule wa Da aliyevamia.Clouds TV."Shieeee, mbusi kala mamaake"
Moja kati ya tuhuma zinazomkabili aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ni unyanyasaji wa kingono. Sabaya anadaiwa kulazimisha ngono wanawake mbalimbali, kuwachukua kwa nguvu anapokutana nao kwenye klabu za usiku, na kuwapeleka hotelini kufanya nao ngono kwa lazima. Jumla ya wanawake 40 wamejitokeza kutoa ushahidi, limeripoti gazeti la Raia Mwema.
Kati ya wanawake hao wapo wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu katika mikoa ya Arusha na Kilimnjaro. Kati ya wanafunzi hao wawili wanadai kulawitiwa baada ya kutekwa na walinzi wa Sabaya walipokutana nae night club. Mmoja kati ya walinzi amekiri kuwapeleka wasichana hao kwa Sabaya lakini amekanusha tuhuma za ulawiti.
"Tuliagizwa kuwachukua lakini sikujua mahusiano yao na Mhe.Sabaya wala sikujua kama walikubaliana kukutana. Nakiri kuwapeleka kwake lakini kuhusu kulawiti siwezi kutoa ushahidi maana sikuwa naye ndani" mmoja wa walinzi wa Sabaya ameieleza timu maalumu (task force) inayochunguza suala hilo kwa kushirikiana na TAKUKURU.
Sabaya anadaiwa kufanya vitendo hivyo katika hoteli mbalimbali za kifahari jijini Arusha na amekuwa akiondoka bila kulipa. Baadhi ya hoteli zimekiri kumdai Sabaya baada ya kupata huduma mbalimbali ikiwemo malazi na chakula lakini amekua akindoka bila kulipa. CG Hotel wanamdai 8.7M, Grand Melia 14.8M, Marves Hotel 3.4M, na Massai Land 9M.
Sabaya ambaye yupo mahabusu tangu May 25 mwaka huu, anatarajiwa kufikishwa mahakamani muda wowote ikiwa ataonekana ana kesi ya kujibu.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP Salum Hamduni jana alisema "Ni kweli tunamshikilia tangu jumanne ya wiki iliyopita kwa mahojiano ya tuhuma mbalimbali za matumizi mabaya ya madaraka na rushwa. Akionekana ana kesi ya kujibu atafikishwa mahakamani"
My Take
Chanzo cha haya yote ni John Magufuli. Yeye alidhani anamkomoa Mbowe kumbe anagongewa watanzania wanyonge
Kawafumua sana wadada kwa kuwachukua kwa ubabe,alikua akiingia club wanasepa mana wanamjuaZamu yake kulawitiwa.....
Na wengine eti wanafunzi wa secondary 😝 wameamua tu kumchafua na ukute walikuwa wanakubalianaWanawake wenyewe alikuwa anawakuta Bar!
History ya familia pia.....eti maji hufuata mkondoHivi mwendazake alikuwa anatumia vigezo gani kuteua hawa vichaa?
ukisoma katikati utaona hii habari ipo Raia MwemaHiki ulicho kileta mdau OKW BOBAN SUNZU ni kweli au habari za awali ni vyema ukaweka na source:
Muda umefika nae afumuliwe.....Kawafumua sana wadada kwa kuwachukua kwa ubabe,alikua akiingia club wanasepa mana wanamjua
We kumbe anamilikiShida inakuja pale inaposemekana kwamba jamaa ana ngoma alishaukwaa siku nyingiiii hao wadada,watakuwa salama?
Wamtafune na yeye sioMabaharia wa mahabusu huko "wafanye kweli"
Ndiyo maana mtu kama Mimi ninayejali uadilifu na ubinadamu siwezi kushabikia yule Dictator kabisa mpaka niingie kaburini."Moja kati ya tuhuma zinazomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ni unyanyasaji wa kingono. Sabaya anadaiwa kulazimisha ngono wanawake mbalimbali, kuwachukua kwa nguvu anapokutana nao kwenye klabu za usiku, na kuwapeleka hotelini kufanya nao ngono kwa lazima. Jumla ya wanawake 40 wamejitokeza kutoa ushahidi TAKUKURU.
Kati ya wanawake hao wapo wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu katika mikoa ya Arusha na Kilimnjaro. Kati ya wanafunzi hao wawili wanadai kulawitiwa baada ya kutekwa na walinzi wa Sabaya walipokutana nae night club. Mmoja kati ya walinzi amekiri kuwapeleka wasichana hao kwa Sabaya lakini amekanusha tuhuma za ulawiti.
"Tuliagizwa kuwachukua lakini sikujua mahusiano yao na Mhe.Sabaya wala sikujua kama walikubaliana kukutana. Nakiri kuwapeleka kwake lakini kuhusu kulawiti siwezi kutoa ushahidi maana sikuwa naye ndani" mmoja wa walinzi wa Sabaya ameieleza timu maalumu (task force) inayochunguza suala hilo kwa kushirikiana na TAKUKURU.
Sabaya anadaiwa kufanya vitendo hivyo katika hoteli mbalimbali za kifahari jijini Arusha na amekuwa akiondoka bila kulipa. Baadhi ya hoteli zimekiri kumdai Sabaya baada ya kupata huduma mbalimbali ikiwemo malazi na chakula lakini amekua akindoka bila kulipa. CG Hotel wanamdai 8.7M, Grand Melia 14.8M, Melvis Hotel 3.4M, na Massai Land 9M.
Sabaya ambaye yupo mahabusu tangu May 25 mwaka huu, anatarajiwa kufikishwa mahakamani muda wowote ikiwa ataonekana anazo tuhuma za kujibu.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP Salum Hamduni jana alisema "Ni kweli tunamshikilia tangu jumanne ya wiki iliyopita kwa mahojiano ya tuhuma mbalimbali za matumizi mabaya ya madaraka na rushwa. Akionekana ana kesi ya kujibu atafikishwa mahakamani". "
Copied and paste from Malisa GJ Facebook page
Swali langu:-
Hivi ni kweli JPM hakujua hizi tuhuma za Sabaya?
Kama alijua akakaa kimya basi na yeye si sehemu ya tatizo hili?
Asanteni sana Wakuu.
Okay, ..ukisoma katikati utaona hii habari ipo Raia Mwema