Raia Mwema na JamiiForums wanapotosha?

Namshukuru sana Mchambuzi kwa kuleta article yake ambayo kwa mtazamo wake yeye ina ukweli ndani yake wakati hali halisi si kweli.Ninachojua mimi katika mitandao mingi ni kuwa unaruhusiwa kupiga kura baada ya kuwa mwanachama/member wa mtandao husika na huruhusiwi kupiga kura mara mbili,wanaosema wamepiga mara kumi nadhani kuna mashaka juu ya hilo.

Cha msingi tuangalie uhalisia wa jambo hili la kura hizi za maoni kupitia katika mitandao,magazeti ya serikali mf.Daily News walianzisha kura ya maoni na kilichowapata natumai wengi tunakijua na hata ukiangalia katika mitandao mingune utaona kuwa kilichokuwa kinasemwa na mwandishi wa Raia Mwema ni kweli na hakuna sababu ya kuanza kubeza kilichoandikwa.

REDET NA SYNOVATE wameendesha kura ya maoni kwa kuwahoji watu wasiozidi mia mbili na wamepata majibu yao ambayo naona kwako ni furaha tele na hujataka hata kuyagusia,je data zao na za JF na mitandao mingine unataka tuamini kuwa ni za uongo?Hata kura zilizopigwa Daily News ni za uongo mpaka zikafutwa?
 
Mkuu majibu yatoke wapi?
hapa tegemea majibu hayo hayo tu kama hatudanganyiki,tumpotezee, umetumwa, sana atakayejitahidi atasema CCM mafisadi na mambo kama hayo

madrassa al sul

Kikwete+na+Sheikh+Mustafa.jpg
 
Mchambuzi kaja na hoja ambazo mwenyewe anaziamini, inatakiwa ajibiwe kihoja vilevile ili ionekane kweli iko wapi! laa sivyo itakuwa anacho kisema ni kweli! MOOOOOOOOOOOODS! where u?

kama kawaida yao ... vilio kila siku hadi inaboa
 
Mtoa mada anaonekana kutojua kura za JF zilivyopigwa .Anadhani ni siku moja tu tena saa aliyolog in. Fahamu kwamba mtandao wetu uko juu. Kila dakika wanaingia watu maelfu na kutoka. Hao uliowaona muda huo ni wanachama ambao walikuwa online .Wengine tulikuwa tumelala. Zimeanza kupigwa tangu hiyo link ilipowekwa na sio habari ya siku moja. Ukitaka leo tembelea matokeo ,bado utaona Doctor yuko juu pamoja na Misis m kibao kujiunga kupiga kura humu lakini wapi.

By the way toka 2007 hujaweza kutoa senks hata moja? Kweli u mbinafsi au ndio tabia zenu makada wa CCM na CUF? LOH
 
Mimi binafsi nadhani kuna suala moja la msingi ambalo inatakiwa tulitazame kwanza awali ya yote.
Kwanza, je, admins wa JF walikuwa ma taarifa kwamba hata wapita njia walikuwa na uwezo wa kupiga kura na kupiga kura zaidi ya mara moja?
suala la kwanini siku moja walitokea wengi halina haja ya mjadala kwasababu kama kawaida, njia hata huko nje barabarana kuna siku inakuwa na watu wengi kuliko siku nyingine kutokana na matukio katika maeneo husika.
Pili, JF admins wanaweza kututhibibitishia kwamba ni kweli majority ya wapiga kura walikuwa wapita njia na sio members?
Tatu, tumeona jinsi poll station ilivyotolewa na kurekebishwa baada ya mlipuko wa kura kuelekea kwa JK huku Dr. Slaa zikipungua, je haya marekebisho ambayo moja kwa moja meant the end of validity ya ile poll hususan baada ya admins kuamua kubadili system ya ku vote kutoka kwa wapita njia, na sasa kuwa only members, kulikuwa na tatizo gani la kuanzisha poll mpya under the new system instead of kuendeleza the count ya muundo wa zamani ambao bila shaka hata Dr. Slaa nae lazima alifaidika nayo?
 
Mimi binafsi nadhani kuna suala moja la msingi ambalo inatakiwa tulitazame kwanza awali ya yote.
Kwanza, je, admins wa JF walikuwa ma taarifa kwamba hata wapita njia walikuwa na uwezo wa kupiga kura na kupiga kura zaidi ya mara moja?
suala la kwanini siku moja walitokea wengi halina haja ya mjadala kwasababu kama kawaida, njia hata huko nje barabarana kuna siku inakuwa na watu wengi kuliko siku nyingine kutokana na matukio katika maeneo husika.
Pili, JF admins wanaweza kututhibibitishia kwamba ni kweli majority ya wapiga kura walikuwa wapita njia na sio members?
Tatu, tumeona jinsi poll station ilivyotolewa na kurekebishwa baada ya mlipuko wa kura kuelekea kwa JK huku Dr. Slaa zikipungua, je haya marekebisho ambayo moja kwa moja meant the end of validity ya ile poll hususan baada ya admins kuamua kubadili system ya ku vote kutoka kwa wapita njia, na sasa kuwa only members, kulikuwa na tatizo gani la kuanzisha poll mpya under the new system instead of kuendeleza the count ya muundo wa zamani ambao bila shaka hata Dr. Slaa nae lazima alifaidika nayo?

Unajua kabisa kuwa aliyefaidika na kura za wageni ni Kikwete. Ilimchukua masaa 48 kupata kura 1000 na ushehe. Kabla ya hapo, ilimchukua wiki tatu kupata kura 700.

kura za Dr Slaa zilikuwa zinaongezeka kwa constant rate kila siku. .... piga hesabu uone unavyochemsha.
 
Ndugu zangu wanajamiiforums, ningependa to share article ifuatayo na natarajia kwamba since we dare to talk openly, hatutaone ikifutwa au wanachama wa jamiiforums kama mimi kuwa suspended kwa madhumuni ya kulindana na kufichana. Jamiiforums Oyee! Enjoy.
___________________________________________________________________________________

UPOFU WA GAZETI LA RAIA MWEMA NA YALIYOJIFICHA KUHUSU KURA ZA MAONI KATIKA TOVUTI YA JAMII FORUMS.

Tarehe 22/09/2010 gazeti la Raia Mwema lilichapisha habari katika ukurasa wake wa mbele likisema ``wanamtandao wampa slaa 76% ’’ kama mtanzania mtaalamu wa masuala ya mitandao ya kijamii (Social Network) nilifuatilia kwa kina na umakini mkubwa suala hili, na kugundua upotoshwaji wa taarifa hiyo kwa asilimia mia moja.......

Sijawahi kusikia uwepo wa chama hiki sehemu kama Unguja, Chake Chake,Chumbi n.k wakifanya kampeni za urais chama ambacho hakijafika hata Zanzibar ambayo ni sehemu ya Tanzania kitapata vipi asilimia sabini na sita ya kura za uraisi?, hata wakati wakitafuta mgombea mwenza wa Dr. Slaa huko Zanzibar ni wazi haikuwa kazi rahisi kwao kwani walihangaika sana na kuambulia mhitimu wa darasa la saba, mchuuzi wa samaki wa soko la darajani unguja mheshimiwa Said Mzee, wanapata vipi asilimia sabini na sita.
Na mwanasiasa nguli

Crispin Alpha
crispinalpha@yahoo.com
Reply With Quote
Kwani ZNZ kuna wapiga kura wangapi? Kama kuwa mashuhuri au kujulikana ZNZ basi CUF ingeshakuwa imechukua hatamu ya nchi hii. Mi nadhani Chadema ni chama makini sana na ndio mana wamewaachia CUF ZNZ. Ni lazima utazame idadi ya wapiga kura. Kwa Tanzania Mwanza, Shinyanga, Mara, Mbeya, Dar es salaam, Arusha na Moshi ndio mikoa inayoamua nani awe rais mana zaidi ya 75% ya watanzania wanaishi katika mikoa hii na ina wapiga kura wengi. Je katika mikoa hii ni wapi ambapo Chadema haikubaliki?
 
Mkuu wangu mkiguswaga pabaya u great thinker wote unawaisha, mnaanza kufanya mambo kama m.......... (nisije nikala bun)

umemgusa nani pabaya mkuu .... mkileta siasa chafu mnapata the same thing toka kwangu ....I thought you will know it better by now.
 
Special prayer: Mungu nisaidie nisidanganyike mpaka Oct 31 ili niweze kutoa adhabu ya haki kwa waliotunyanyasa kwa miaka 50...Amin
 
Ndugu zangu wanajamiiforums, ningependa to share article ifuatayo na natarajia kwamba since we dare to talk openly, hatutaone ikifutwa au wanachama wa jamiiforums kama mimi kuwa suspended kwa madhumuni ya kulindana na kufichana. Jamiiforums Oyee! Enjoy.
___________________________________________________________________________________

UPOFU WA GAZETI LA RAIA MWEMA NA YALIYOJIFICHA KUHUSU KURA ZA MAONI KATIKA TOVUTI YA JAMII FORUMS.

Tarehe 22/09/2010 gazeti la Raia Mwema lilichapisha habari katika ukurasa wake wa mbele likisema ``wanamtandao wampa slaa 76% ’’ kama mtanzania mtaalamu wa masuala ya mitandao ya kijamii (Social Network) nilifuatilia kwa kina na umakini mkubwa suala hili, na kugundua upotoshwaji wa taarifa hiyo kwa asilimia mia moja.
Aidha sina hakika kama mhariri wa gazeti hilo ana utaalamu wa teknolojia hii mpya na kama alitambua hili nitakaloandika kabla ya kuchapisha habari hiyo.
Ninaandika haya kuufahamisha umma wa Tanzania karibu laki nane wanaotumia mtandao na pia wananchi wengi walioamini kazi za gazeti hilo kabla ya ya kuchapisha uozo huu ambao unaweza kutuletea matatizo kwa taifa. sitaki kuamini kwamba mhariri alikuwa na maslahi binafsi katika kuchapisha habari hiyo na pia siamini kwamba gazeti kama hili halina mtaalamu mchambuzi wa habari na taarifa toka mtandaoni.

UKWELI NA UCHAMBUZI
kwanza kabisa gazeti limesema wanamtandao wakati habari nzima imezama katika mtandao wa Jamii forum tu na kuacha mitandao mingine kama Wanabidii, wazalendoforum, Issa Michuzi Blog, Mjengwa Blog, na Bongo Celebrity,Haki Ngowi,Mrokim, n.k.
Aidha takwimu zote ni za tarehe 22/09/2010 siku ambayo gazeti hilo lilichapisha habari hiyo. Jamii forum mpaka tarehe 22/09/2010 ilikuwa na wanachama wapatao 22,032.
Siku hiyo wakati naandika takwimu hizi watumiaji walikuwa 3,886 kati yao 557 walikuwa wanachama (Members) na 3329 waliobaki walikuwa wageni (Visitors) ambao hawa ni wale watembeleao tovuti bila kuwa wanachama kwa lengo la kusoma kilichopo au kupata taarifa fulani, kati ya hawa wengine huwa ni wanachama ambao hawajaingia kama wanachama kwa muda husika.
Kwa maana hiyo hapo juu utaona kwamba 14% tu ya watumiaji wa mtandao huu ndio wanachama huku 86% wakiwa ni wageni (hawa huweza kusoma , kupiga kura lakini hawawezi kutoa maoni).
Kwa undani zaidi kama tarehe 22/09/2010 ni wanachama 557 tu walitumia mtandaohuo , basi ni asilimia 2.64 tu ya wanachama wote ndio watumiaji huku asilimia 97.36 ikiwa ni watumiaji wasio wanachama, tarehe 22/09/2010 washiriki walikuwa wa kura ya maoni walikuwa ya mtandao huo ilikuwa nia washiriki 6,873.

JAMBO LA MSINGI NI HILI
Kama 14% tu ya watumiaji ndiyo wanachama basi wanachama walioshiriki kura hiyo ni 985. Kwa maana hiyo basi 86% ya kura zilizobaki yaani 5,888 zilipigwa na wageni, wanachama waliopenda kuingia kama wageni, ili kufanya utaratibu wa kupiga kura mara mbili na kwa kawaida mwanachama hutakiwa apige kura mara moja tu ila ukiwa mgeni unaweza kupiga hata mara mia moja.

MAANA YAKE
Kura za maoni mtandaoni zinapimwa ubora wake kwa tofauti kati ya mwanachama wa tovuti husika waliopiga kura na idadi ya kura zilizopigwa . Jinsi tofauti inavokuwa kubwa ndivyo jinsi ubora wake unavyopoteza maana kwa suala hili tofauti ni 5,888 sawa na 86%.
ANGALIZO
Je ni kweli gazeti hili linatuchukulia watanzania kuwa ni wajinga kiasi hicho ? kwamba lilitumia ujinga wetu kwa kutuletea habari hii ya upotoshaji ili kutuibia mamilioni ya shilingi kwa nakala tulizonunua siku hiyo? Au wamiliki wake waliamua maksudi kutupotosha ili kubeba chama na mgombea fulani? Gazeti la Raia Mwema lilijiaminisha kwa jamii ya Watanzania kama gazeti la uchambuzi yakinifu , leo linaandika habari zisizo na uchambuzi wa kina kwa maslahi yao binafsi?, bodi ya Raia Mwema imesheheni waandishi wazoefu hili hawakuliona kweli?
Aidha jamii forum baaada ya kugungua udhaifu uliopo wiki chache zilizopita utaratibu wa kupiga kura hizo ulibadilishwa ambapo sasa ni lazima uwe mwanachama ili ushiriki, hiki ni kiini macho kweli? Na jee zile 5,888 walizopiga wasio wanachama zimefutwa ? watanzania makini tuko macho na wapotoshaji kama hawa .
Aidha kwenye kitabu kinachoitwa Constructing Public Opinion, How political elites do what they like and why we seem to go along with it by Justin Lewis.
Chapter 1. Why numbers matters and why we should be suspicious of them, niliisoma na ndipo nilipopatwa na hamu ya kufuatilia habari ya gazeti la Raia Mwema na kura za maoni ya Jamii forum. Cha ajabu hakuna taasisi yoyote ama chama chochote kilichohoji mazingaombwe haya. Tumeshuhudia makala mbali mbali kama jumapili ya mwezi huu ya tarehe 10 ambapo Gazeti la Tanzania Daima lilikuwa na makala zaidi ya nne kuhoji uhalali wa Redet chini ya DR.Bana kutoa takwimu za Uchaguzi na kuonesha nani kaongoza.Redet imepita mikoa 26 ya nchi hii na kuongea na wapiga kura tena ni watu halisi sio pen names kama wa Jamii Forums.
Binafsi siwezi kuchukua kura za maoni za Jamii forum kama kigezo zipo sababu nyingi za msingi mfano Slaa, Mbowe, Mnyika hadi mzee Mtei ni wanachama waandamizi wa wa Jamii forum kwa maneno mengine jamii forum ni uwanja wao, jukwaa lao la propaganda kwa muda mrefu na wamekuwa wakipata upendeleo wa waziwazi pia kumekuwa na uonevu kwa wanachama watakaoonekana kutomkubali Dr. Slaa na chama chake wanachama hao hufungiwa kama vile, Nostradamus, padre, nassy nakadhalika wanafungiwa hadi baada ya uchaguzi kuisha kwa vile tu hoja zao zinamkera Dr. Slaa au wanachama wake bila sababu maalum.
Jamii Forums is not a neutral Ground na hakuna Fairness kwa vyama vingine vya Siasa with exceptional of Chadema.
Aidha kipimo cha kupima kura za maoni zilizipigwa na mtandao huu bado ni kizungumkuti wengi wao wamekuwa wakitumia majina bandia na wengine wana majina zaidi ya kumi ukifuatilia mtiririko wa hoja unatambua kuwa huyu ni mtu mmoja hata kama angetumia majina kumi.
Pia haijulikani kama watu hawa ni watu halisi mfano utaona majina kama mwanakijiji, nyani ngabu, mswahili, chuma, buguruni kwa mnyamani, Inzi, na mengine kama hayo .
Gazeti la Raia Mwema kama chombo cha habari kilicho makini hakikustahili kutumia chanzo cha habari zake mfano wa jamii forum kutuletea watanzania.

ZAIDI
Unapofanya utafiti ni vyema kuwashirikisha wahusika kama wapiga kura nakadhalika, Raia Mwema wana uhakika na hao waliopiga kura jamii forum kama wana sifa za kupiga kura na wana sifa za kufanya hivyo kwani inaeleweka wazi wengi washiriki wa jamii forum wako nje ya nchi na hasa marekani kwenye miji ya Detroit, Michigan, New York na kadhalika,
ili Slaa apate asilimia sabini na sita ni lazima chama chake kiwe na muundo unaoeleweka chenye matawi ya kutosha nchi nzima, sina hakika kama CHADEMA kina matawi ya kutosha Namtumbo, Ruangwa , Nachingwea , Pemba, Masasi na kadhalika .
Dr. Slaa kama Katibu Mkuu wa Chadema ameyumba sana kusimamia katiba ya Chadema wako wanachama wamevuliwa na kufukuzwa uanachama mbele yake kwa kuonewa, usawa wa mgawanyo wa Viti maalum vyote kulundikwa wa watu wa mkoa mmoja hata watu wa Tarime ambao waliongoza kwa kukipigia kura hawakuambulia kiti cha ubunge wa Viti maalum,kina Kafulila wamefukuzwa kwa vile hawakutakiwa kuwa viongozi,haya yote yametokea mikononi mwa Slaa kama kiongozi na mtendaji mkuu, anapata wapi 76%?kweli hawa Jamii Forums ambao wanajiita Great Thinkers walimtizama Dr. Slaa nje na ndani?Kashindwa kuilinda katiba ndogo ya Chadema ataweza kuilinda katiba kubwa ya nchi yetu? Udhaifu wa kiuongozi aliona Slaa kwenye maeneo mengi tukimuacha kwenye maisha yake binafsi amefeli.ameshindwa kuhakikisha kuwa anapatika hata mtu mmoja kwenye viti maalum anayetokea Zanzibar ili kuleta usawa akachukua wote toka Kilimanjaro tena bila kikao chochote cha chama chake zaidi ya kila kiongozi kutaja mtoto wake au ndugu yake,haya ni machache yanaonesha huhitaji kuwa GREAT THINKER kujua Slaa hana uwezo wa kupata 76%.
Sijawahi kusikia uwepo wa chama hiki sehemu kama Unguja, Chake Chake,Chumbi n.k wakifanya kampeni za urais chama ambacho hakijafika hata Zanzibar ambayo ni sehemu ya Tanzania kitapata vipi asilimia sabini na sita ya kura za uraisi?, hata wakati wakitafuta mgombea mwenza wa Dr. Slaa huko Zanzibar ni wazi haikuwa kazi rahisi kwao kwani walihangaika sana na kuambulia mhitimu wa darasa la saba, mchuuzi wa samaki wa soko la darajani unguja mheshimiwa Said Mzee, wanapata vipi asilimia sabini na sita.
Na mwanasiasa nguli

Crispin Alpha
crispinalpha@yahoo.com
Reply With Quote
Tuesday, May 4, 2010

Wachaga wanaweza au wanapendelewa?


“UKIMWONA mtu anazungumza masuala ya ukabila katika karne hii, basi huyo hatufahi hata kidogo . Maana hatumchagui na wala hatutanchagua kiongozi ama kwa sababu ya dini au kabila lake. Tunampa mtu uongozi kutokana na sifa na uwezo wake. Na mtu mwenye uwezo hatuwezi kumkataa kwa sababu kabila lake wala dini yake.

Katika siasa akija mgombeaa ni mwislamu ,mwislamu, mwislamu na kabila lake ni mkala,mkala, mkala. Potelea mbali, tutampa tu oungozi maadam awe na sifa na vigezo vilivyoanishwa. Hapa hatumchagui Papa au Sheikh, maana kwa Wakristu ili uwe papa ni lazima uwe mkristu vile vile kwa Walislamu ili uweze kuchaguliwa kuwa Sheikh ni sharti uwe mwislamu”.

Hiyo ni kauli ya baba wa Taifa, hayati mwalimu Julius Nyerere, aliyoitoa mwaka 1995 katika mkutano wake na wanahabari, akijaribu kuwaonya wale wenye fikra finyu za kuwachagua watu ana kuwateua kushika nyadhifa fulani kwenye siasa kwa misingi ya ukabila au udini badala ya kuangalia kama wana sifa na uwezo wa kuwatumikia watu.

Naibua mada hii leo, japokuwa sitajielekeza kwenye kuichambua kwa kirefu lakini nataka nitahadharishe juu ya hili la ukabila na udini, maana naona utabiri wa Nyerere kama umeanza kutimia, kwani leo hii wako wanasiasa waliofirisika kisiasa wanatafuta kulazimisha kukubalika kwa wananchi wakitumia mgongo wa kueneza chuki za ukabila na udini.

Kwa leo nitatumia mfano mdogo wa wabunge sita wa viti maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ambapo wanasiasa wengi wachovu kila wanapokosa hoja wanaibuka na kuhubiri kuwa CHADEMA ina ukabila kwa kuwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe ni mchagga, baadhi ya wakurugenzi wa chama hicho kama, Anthony Komu, John Mrema nao ni wachagga, hivyo pia wabunge hawa nao waliteuliwa kwa kufuata ukabila wa kichagga.

Wabunge wenyewe ni Halima Mdee, Susan Lyimo, Anna Komu (Dar es Salaam), Lucy Owenya, Grace Kihwelu (Moshi) na Mhonga Ruhanywa (Kigoma). CHADEMA imekwishafafanua mara nyingi na hata kwenye mtandao wao kuna ufafanuzi huo. Hivyo leo sijadili hoja ya ni kwanini wabunge watano ni wachagga na mmoja tu ndiye si mchagga.

Hoja hii imerudiwa sana hivi karibuni hasa baada ya wanachama watatu vijana- David Kafulila, Juju Danda na Felix Mkosamali, kutangaza kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na NCCR-Mageuzi. Kila mmoja wa wanasiasa hawa vijana alipata nafasi ya kujieleza mbele ya wanahabari na lawama zao ni kwamba CHADEMA inaendeshwa kwa misingi ya ukabila kwa sababu Mbowe, baadhi ya wakurugenzi na wabunge watano wa viti maalum wote ni wachagga.

Dhambi ya ukabila wa kuwachukia wachagga inatanuka, tunaandika ili Watanzania waweze kuelewa upendeleo wa wachagga katika saisa, tunajigamba kwenye majukwaa ya kisiasa ili kujipatia umaarufu kama kwamba ni jambo zuri kuwabagua wenzetu wachagga na kuwafanya kwamba kabila lao halisitahili kupewa majukumu.

Turejee tena kwenye hoja ya mwalimu Nyerere hapo juu, kuwa hatutaacha kumchagua mtu awe kiongozi wetu ikiwa anazo sifa zooooooote zinazotakiwa na uwezo wa kufanya kazi, ila eti hafai kwa sababu tu ni mchagga. Hii ndiyo Tanzania ipi tunajaribu kuijenga, hivi tumeshindwa kupata kumbukumbu za karibuni kwa majirani zetu Rwanda na Burundi mwaka 1994? Je itakuwaje na wachagga wakichukia kusemwa semwa na kubaguliwa, nchi hii itakatawalika?

Je wabunge (wachagga) tunaowajengea chuki, ni kweli walikuwa na vigezo, uwezo na sifa za kuwa wabunge ama ni kweli waliteuliwa kwa ukabila wao? Hivi ni mwenda wazimu gani hajui mchango wa Halima, Susan, Lucy, Grace na Anna, wanapokuwa ndani na nje ya bunge? Bila kuweka ushabiki, lazima tukubali kuwa wabunge hawa kwa muda wa miaka takribani mitano waliyokaa bungeni, uwezo wao ni mkubwa sana kuliko hata baadhi ya wabunge wengine wakongwe waliyodumu kwenye viti hivyo muda mrefu.

Ama nani hajaona uwezo wa Mbowe, Mrema (John) na Komu katika kuijenga CHADEMA? Ukweli wa mambo, nilidhani hoja zetu zingejikita katika kuwalaumu wabunge hawa viongozi wengine (wachagga) ndani ya chama hicho kama wangekuwa katika madaraka hayo bila kufanya kazi yenye zenye kuisaidia CHADEMA na wananchi kwa ujmla.

Ni wazi kuwa wanaoendesha dhana hii ya ukabila, wanalenga kujitafutia umaarugu mwepesi (cheep popularity) kisiasa na kujaribu kughiribu watu wasifahamu madhambi yao. Lakini mwisho wa yote ipo haja ya kujifanyia tafakari ya kusafirisha bongo zetu na kuondoa mawazo mgando ya zamani (purification of mind) ili kuingiza mambo mpya yenye manufaa ya kutuunganisha kama taifa moja badala ya kugawanyika kwa misingi ya kijinga.

Tunaweza kuendeleza ubaguzi huu ikiwa tutataka, lakini madahara yake ni makubwa sana kuliko mzaha tunaoufanya leo. Wala tusishangae kesho kumkuta mwanasiasa mkristu akinguruma jukwaani na kuwahamasisha wananchi kuwa Serikali hii inaendeshwa kwa udini (Uislamu), kisa kwa kuwa Rais, Makamu, IGP na watendaji wengine wengi ni Waislamu.

Au Waislamu nao wakaibuka wakadai kuwa Serikali imetawaliwa na Wakristo wengi, kwa kuwa Wariri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Mkuu wa Majeshi na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine ni Wakristo. Na chuki hii ikishakolea kwenye vichwa na mioyo ya wananchi, ni vigumu sana kuwabadilisha waamini na kukubali kuwa viongozi hao walichaguliwa au kuteuliwa kutokana na sifa zao wala si dini au makabila yao.

Wachagga ni kabila kama walivyo makabila ya Wakwere, Wazanaki, Wamakonde, Wahaya, Waha, Wasukuma, Wakurya na mengine mengi. Lakini makabila haya hayana nafasi kwa kuwa si mojawapo ya sifa au vigezo vya kiongozi wa kisiasa au nchi kuchaguliwa ama kuetuliwa kushika madaraka. Hivyo tunaweza kujadili na kulalama juu ya wachagga, lakini ni lazima tujiulize kama ni kweli wanapendelewa ama wana uwezo na sifa?.

Niachie ujumbe; edkamukara@yahoo.com au simu; 0714717115/ 0755272351
Posted by Uwanja wa Kamukara at 1:24 AM
Uwanja wa Kamukara: Wachaga wanaweza au wanapendelewa?
 
Ndugu zangu wanajamiiforums, ningependa to share article ifuatayo na natarajia kwamba since we dare to talk openly, hatutaone ikifutwa au wanachama wa jamiiforums kama mimi kuwa suspended kwa madhumuni ya kulindana na kufichana. Jamiiforums Oyee! Enjoy.
___________________________________________________________________________________

UPOFU WA GAZETI LA RAIA MWEMA NA YALIYOJIFICHA KUHUSU KURA ZA MAONI KATIKA TOVUTI YA JAMII FORUMS.

Tarehe 22/09/2010 gazeti la Raia Mwema lilichapisha habari katika ukurasa wake wa mbele likisema ``wanamtandao wampa slaa 76% '' kama mtanzania mtaalamu wa masuala ya mitandao ya kijamii (Social Network) nilifuatilia kwa kina na umakini mkubwa suala hili, na kugundua upotoshwaji wa taarifa hiyo kwa asilimia mia moja.
Aidha sina hakika kama mhariri wa gazeti hilo ana utaalamu wa teknolojia hii mpya na kama alitambua hili nitakaloandika kabla ya kuchapisha habari hiyo.
Ninaandika haya kuufahamisha umma wa Tanzania karibu laki nane wanaotumia mtandao na pia wananchi wengi walioamini kazi za gazeti hilo kabla ya ya kuchapisha uozo huu ambao unaweza kutuletea matatizo kwa taifa. sitaki kuamini kwamba mhariri alikuwa na maslahi binafsi katika kuchapisha habari hiyo na pia siamini kwamba gazeti kama hili halina mtaalamu mchambuzi wa habari na taarifa toka mtandaoni.

UKWELI NA UCHAMBUZI
kwanza kabisa gazeti limesema wanamtandao wakati habari nzima imezama katika mtandao wa Jamii forum tu na kuacha mitandao mingine kama Wanabidii, wazalendoforum, Issa Michuzi Blog, Mjengwa Blog, na Bongo Celebrity,Haki Ngowi,Mrokim, n.k.
Aidha takwimu zote ni za tarehe 22/09/2010 siku ambayo gazeti hilo lilichapisha habari hiyo. Jamii forum mpaka tarehe 22/09/2010 ilikuwa na wanachama wapatao 22,032.
Siku hiyo wakati naandika takwimu hizi watumiaji walikuwa 3,886 kati yao 557 walikuwa wanachama (Members) na 3329 waliobaki walikuwa wageni (Visitors) ambao hawa ni wale watembeleao tovuti bila kuwa wanachama kwa lengo la kusoma kilichopo au kupata taarifa fulani, kati ya hawa wengine huwa ni wanachama ambao hawajaingia kama wanachama kwa muda husika.
Kwa maana hiyo hapo juu utaona kwamba 14% tu ya watumiaji wa mtandao huu ndio wanachama huku 86% wakiwa ni wageni (hawa huweza kusoma , kupiga kura lakini hawawezi kutoa maoni).
Kwa undani zaidi kama tarehe 22/09/2010 ni wanachama 557 tu walitumia mtandaohuo , basi ni asilimia 2.64 tu ya wanachama wote ndio watumiaji huku asilimia 97.36 ikiwa ni watumiaji wasio wanachama, tarehe 22/09/2010 washiriki walikuwa wa kura ya maoni walikuwa ya mtandao huo ilikuwa nia washiriki 6,873.

JAMBO LA MSINGI NI HILI
Kama 14% tu ya watumiaji ndiyo wanachama basi wanachama walioshiriki kura hiyo ni 985. Kwa maana hiyo basi 86% ya kura zilizobaki yaani 5,888 zilipigwa na wageni, wanachama waliopenda kuingia kama wageni, ili kufanya utaratibu wa kupiga kura mara mbili na kwa kawaida mwanachama hutakiwa apige kura mara moja tu ila ukiwa mgeni unaweza kupiga hata mara mia moja.

MAANA YAKE
Kura za maoni mtandaoni zinapimwa ubora wake kwa tofauti kati ya mwanachama wa tovuti husika waliopiga kura na idadi ya kura zilizopigwa . Jinsi tofauti inavokuwa kubwa ndivyo jinsi ubora wake unavyopoteza maana kwa suala hili tofauti ni 5,888 sawa na 86%.
ANGALIZO
Je ni kweli gazeti hili linatuchukulia watanzania kuwa ni wajinga kiasi hicho ? kwamba lilitumia ujinga wetu kwa kutuletea habari hii ya upotoshaji ili kutuibia mamilioni ya shilingi kwa nakala tulizonunua siku hiyo? Au wamiliki wake waliamua maksudi kutupotosha ili kubeba chama na mgombea fulani? Gazeti la Raia Mwema lilijiaminisha kwa jamii ya Watanzania kama gazeti la uchambuzi yakinifu , leo linaandika habari zisizo na uchambuzi wa kina kwa maslahi yao binafsi?, bodi ya Raia Mwema imesheheni waandishi wazoefu hili hawakuliona kweli?
Aidha jamii forum baaada ya kugungua udhaifu uliopo wiki chache zilizopita utaratibu wa kupiga kura hizo ulibadilishwa ambapo sasa ni lazima uwe mwanachama ili ushiriki, hiki ni kiini macho kweli? Na jee zile 5,888 walizopiga wasio wanachama zimefutwa ? watanzania makini tuko macho na wapotoshaji kama hawa .
Aidha kwenye kitabu kinachoitwa Constructing Public Opinion, How political elites do what they like and why we seem to go along with it by Justin Lewis.
Chapter 1. Why numbers matters and why we should be suspicious of them, niliisoma na ndipo nilipopatwa na hamu ya kufuatilia habari ya gazeti la Raia Mwema na kura za maoni ya Jamii forum. Cha ajabu hakuna taasisi yoyote ama chama chochote kilichohoji mazingaombwe haya. Tumeshuhudia makala mbali mbali kama jumapili ya mwezi huu ya tarehe 10 ambapo Gazeti la Tanzania Daima lilikuwa na makala zaidi ya nne kuhoji uhalali wa Redet chini ya DR.Bana kutoa takwimu za Uchaguzi na kuonesha nani kaongoza.Redet imepita mikoa 26 ya nchi hii na kuongea na wapiga kura tena ni watu halisi sio pen names kama wa Jamii Forums.
Binafsi siwezi kuchukua kura za maoni za Jamii forum kama kigezo zipo sababu nyingi za msingi mfano Slaa, Mbowe, Mnyika hadi mzee Mtei ni wanachama waandamizi wa wa Jamii forum kwa maneno mengine jamii forum ni uwanja wao, jukwaa lao la propaganda kwa muda mrefu na wamekuwa wakipata upendeleo wa waziwazi pia kumekuwa na uonevu kwa wanachama watakaoonekana kutomkubali Dr. Slaa na chama chake wanachama hao hufungiwa kama vile, Nostradamus, padre, nassy nakadhalika wanafungiwa hadi baada ya uchaguzi kuisha kwa vile tu hoja zao zinamkera Dr. Slaa au wanachama wake bila sababu maalum.
Jamii Forums is not a neutral Ground na hakuna Fairness kwa vyama vingine vya Siasa with exceptional of Chadema.
Aidha kipimo cha kupima kura za maoni zilizipigwa na mtandao huu bado ni kizungumkuti wengi wao wamekuwa wakitumia majina bandia na wengine wana majina zaidi ya kumi ukifuatilia mtiririko wa hoja unatambua kuwa huyu ni mtu mmoja hata kama angetumia majina kumi.
Pia haijulikani kama watu hawa ni watu halisi mfano utaona majina kama mwanakijiji, nyani ngabu, mswahili, chuma, buguruni kwa mnyamani, Inzi, na mengine kama hayo .
Gazeti la Raia Mwema kama chombo cha habari kilicho makini hakikustahili kutumia chanzo cha habari zake mfano wa jamii forum kutuletea watanzania.

ZAIDI
Unapofanya utafiti ni vyema kuwashirikisha wahusika kama wapiga kura nakadhalika, Raia Mwema wana uhakika na hao waliopiga kura jamii forum kama wana sifa za kupiga kura na wana sifa za kufanya hivyo kwani inaeleweka wazi wengi washiriki wa jamii forum wako nje ya nchi na hasa marekani kwenye miji ya Detroit, Michigan, New York na kadhalika,
ili Slaa apate asilimia sabini na sita ni lazima chama chake kiwe na muundo unaoeleweka chenye matawi ya kutosha nchi nzima, sina hakika kama CHADEMA kina matawi ya kutosha Namtumbo, Ruangwa , Nachingwea , Pemba, Masasi na kadhalika .
Dr. Slaa kama Katibu Mkuu wa Chadema ameyumba sana kusimamia katiba ya Chadema wako wanachama wamevuliwa na kufukuzwa uanachama mbele yake kwa kuonewa, usawa wa mgawanyo wa Viti maalum vyote kulundikwa wa watu wa mkoa mmoja hata watu wa Tarime ambao waliongoza kwa kukipigia kura hawakuambulia kiti cha ubunge wa Viti maalum,kina Kafulila wamefukuzwa kwa vile hawakutakiwa kuwa viongozi,haya yote yametokea mikononi mwa Slaa kama kiongozi na mtendaji mkuu, anapata wapi 76%?kweli hawa Jamii Forums ambao wanajiita Great Thinkers walimtizama Dr. Slaa nje na ndani?Kashindwa kuilinda katiba ndogo ya Chadema ataweza kuilinda katiba kubwa ya nchi yetu? Udhaifu wa kiuongozi aliona Slaa kwenye maeneo mengi tukimuacha kwenye maisha yake binafsi amefeli.ameshindwa kuhakikisha kuwa anapatika hata mtu mmoja kwenye viti maalum anayetokea Zanzibar ili kuleta usawa akachukua wote toka Kilimanjaro tena bila kikao chochote cha chama chake zaidi ya kila kiongozi kutaja mtoto wake au ndugu yake,haya ni machache yanaonesha huhitaji kuwa GREAT THINKER kujua Slaa hana uwezo wa kupata 76%.
Sijawahi kusikia uwepo wa chama hiki sehemu kama Unguja, Chake Chake,Chumbi n.k wakifanya kampeni za urais chama ambacho hakijafika hata Zanzibar ambayo ni sehemu ya Tanzania kitapata vipi asilimia sabini na sita ya kura za uraisi?, hata wakati wakitafuta mgombea mwenza wa Dr. Slaa huko Zanzibar ni wazi haikuwa kazi rahisi kwao kwani walihangaika sana na kuambulia mhitimu wa darasa la saba, mchuuzi wa samaki wa soko la darajani unguja mheshimiwa Said Mzee, wanapata vipi asilimia sabini na sita.
Na mwanasiasa nguli

Crispin Alpha
crispinalpha@yahoo.com
Reply With Quote

Fanya pia analysis kama hiyo kwa REDET na Synovate ili watu wajue wewe ni kiboko na unasema ukweli mtupu bila chembe yoyote ya error!
 
Tuesday, May 4, 2010

Wachaga wanaweza au wanapendelewa?


"UKIMWONA mtu anazungumza masuala ya ukabila katika karne hii, basi huyo hatufahi hata kidogo . Maana hatumchagui na wala hatutanchagua kiongozi ama kwa sababu ya dini au kabila lake. Tunampa mtu uongozi kutokana na sifa na uwezo wake. Na mtu mwenye uwezo hatuwezi kumkataa kwa sababu kabila lake wala dini yake.

Katika siasa akija mgombeaa ni mwislamu ,mwislamu, mwislamu na kabila lake ni mkala,mkala, mkala. Potelea mbali, tutampa tu oungozi maadam awe na sifa na vigezo vilivyoanishwa. Hapa hatumchagui Papa au Sheikh, maana kwa Wakristu ili uwe papa ni lazima uwe mkristu vile vile kwa Walislamu ili uweze kuchaguliwa kuwa Sheikh ni sharti uwe mwislamu".

Hiyo ni kauli ya baba wa Taifa, hayati mwalimu Julius Nyerere, aliyoitoa mwaka 1995 katika mkutano wake na wanahabari, akijaribu kuwaonya wale wenye fikra finyu za kuwachagua watu ana kuwateua kushika nyadhifa fulani kwenye siasa kwa misingi ya ukabila au udini badala ya kuangalia kama wana sifa na uwezo wa kuwatumikia watu.

Naibua mada hii leo, japokuwa sitajielekeza kwenye kuichambua kwa kirefu lakini nataka nitahadharishe juu ya hili la ukabila na udini, maana naona utabiri wa Nyerere kama umeanza kutimia, kwani leo hii wako wanasiasa waliofirisika kisiasa wanatafuta kulazimisha kukubalika kwa wananchi wakitumia mgongo wa kueneza chuki za ukabila na udini.

Kwa leo nitatumia mfano mdogo wa wabunge sita wa viti maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ambapo wanasiasa wengi wachovu kila wanapokosa hoja wanaibuka na kuhubiri kuwa CHADEMA ina ukabila kwa kuwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe ni mchagga, baadhi ya wakurugenzi wa chama hicho kama, Anthony Komu, John Mrema nao ni wachagga, hivyo pia wabunge hawa nao waliteuliwa kwa kufuata ukabila wa kichagga.

Wabunge wenyewe ni Halima Mdee, Susan Lyimo, Anna Komu (Dar es Salaam), Lucy Owenya, Grace Kihwelu (Moshi) na Mhonga Ruhanywa (Kigoma). CHADEMA imekwishafafanua mara nyingi na hata kwenye mtandao wao kuna ufafanuzi huo. Hivyo leo sijadili hoja ya ni kwanini wabunge watano ni wachagga na mmoja tu ndiye si mchagga.

Hoja hii imerudiwa sana hivi karibuni hasa baada ya wanachama watatu vijana- David Kafulila, Juju Danda na Felix Mkosamali, kutangaza kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na NCCR-Mageuzi. Kila mmoja wa wanasiasa hawa vijana alipata nafasi ya kujieleza mbele ya wanahabari na lawama zao ni kwamba CHADEMA inaendeshwa kwa misingi ya ukabila kwa sababu Mbowe, baadhi ya wakurugenzi na wabunge watano wa viti maalum wote ni wachagga.

Dhambi ya ukabila wa kuwachukia wachagga inatanuka, tunaandika ili Watanzania waweze kuelewa upendeleo wa wachagga katika saisa, tunajigamba kwenye majukwaa ya kisiasa ili kujipatia umaarufu kama kwamba ni jambo zuri kuwabagua wenzetu wachagga na kuwafanya kwamba kabila lao halisitahili kupewa majukumu.

Turejee tena kwenye hoja ya mwalimu Nyerere hapo juu, kuwa hatutaacha kumchagua mtu awe kiongozi wetu ikiwa anazo sifa zooooooote zinazotakiwa na uwezo wa kufanya kazi, ila eti hafai kwa sababu tu ni mchagga. Hii ndiyo Tanzania ipi tunajaribu kuijenga, hivi tumeshindwa kupata kumbukumbu za karibuni kwa majirani zetu Rwanda na Burundi mwaka 1994? Je itakuwaje na wachagga wakichukia kusemwa semwa na kubaguliwa, nchi hii itakatawalika?

Je wabunge (wachagga) tunaowajengea chuki, ni kweli walikuwa na vigezo, uwezo na sifa za kuwa wabunge ama ni kweli waliteuliwa kwa ukabila wao? Hivi ni mwenda wazimu gani hajui mchango wa Halima, Susan, Lucy, Grace na Anna, wanapokuwa ndani na nje ya bunge? Bila kuweka ushabiki, lazima tukubali kuwa wabunge hawa kwa muda wa miaka takribani mitano waliyokaa bungeni, uwezo wao ni mkubwa sana kuliko hata baadhi ya wabunge wengine wakongwe waliyodumu kwenye viti hivyo muda mrefu.

Ama nani hajaona uwezo wa Mbowe, Mrema (John) na Komu katika kuijenga CHADEMA? Ukweli wa mambo, nilidhani hoja zetu zingejikita katika kuwalaumu wabunge hawa viongozi wengine (wachagga) ndani ya chama hicho kama wangekuwa katika madaraka hayo bila kufanya kazi yenye zenye kuisaidia CHADEMA na wananchi kwa ujmla.

Ni wazi kuwa wanaoendesha dhana hii ya ukabila, wanalenga kujitafutia umaarugu mwepesi (cheep popularity) kisiasa na kujaribu kughiribu watu wasifahamu madhambi yao. Lakini mwisho wa yote ipo haja ya kujifanyia tafakari ya kusafirisha bongo zetu na kuondoa mawazo mgando ya zamani (purification of mind) ili kuingiza mambo mpya yenye manufaa ya kutuunganisha kama taifa moja badala ya kugawanyika kwa misingi ya kijinga.

Tunaweza kuendeleza ubaguzi huu ikiwa tutataka, lakini madahara yake ni makubwa sana kuliko mzaha tunaoufanya leo. Wala tusishangae kesho kumkuta mwanasiasa mkristu akinguruma jukwaani na kuwahamasisha wananchi kuwa Serikali hii inaendeshwa kwa udini (Uislamu), kisa kwa kuwa Rais, Makamu, IGP na watendaji wengine wengi ni Waislamu.

Au Waislamu nao wakaibuka wakadai kuwa Serikali imetawaliwa na Wakristo wengi, kwa kuwa Wariri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Mkuu wa Majeshi na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine ni Wakristo. Na chuki hii ikishakolea kwenye vichwa na mioyo ya wananchi, ni vigumu sana kuwabadilisha waamini na kukubali kuwa viongozi hao walichaguliwa au kuteuliwa kutokana na sifa zao wala si dini au makabila yao.

Wachagga ni kabila kama walivyo makabila ya Wakwere, Wazanaki, Wamakonde, Wahaya, Waha, Wasukuma, Wakurya na mengine mengi. Lakini makabila haya hayana nafasi kwa kuwa si mojawapo ya sifa au vigezo vya kiongozi wa kisiasa au nchi kuchaguliwa ama kuetuliwa kushika madaraka. Hivyo tunaweza kujadili na kulalama juu ya wachagga, lakini ni lazima tujiulize kama ni kweli wanapendelewa ama wana uwezo na sifa?.

Niachie ujumbe; edkamukara@yahoo.com au simu; 0714717115/ 0755272351
Posted by Uwanja wa Kamukara at 1:24 AM
Uwanja wa Kamukara: Wachaga wanaweza au wanapendelewa?

Ndugu Geza Ulole nimekuelewa. Kuna wakati watu walikuwa wanalalamika kwa nini mapadre wengi Tanzania ni Wahaya na Wachagga na pia kwa nini kabila dogo kama Wakaerewe ndilo lina maprofesa wengi zaidi Tanzania (at least 68). Watu wenye akili ndogo wanaweza kusema ni ukabila bila kujua historia ikoje.
 
JF inatisha hakuna mjadala. Ila mwaka huu wasomi msisahau kwenda kupanga foleni kupiga kura. Maana baada ya hapo tutajadiliana fairly kama we have been part of the selecting process. The only way to do so is by going to vote
 
wakati huo huo, tanzania inaongozwa na raisi mgonjwa:

2yz9yxh.jpg

Mwafrika Cuba iliongonzwa na raisi mahututi that is not a point JK anaweza akawa mgonjwa wa ugonjwa wowote na mgombea mwingine akawa anau ugua akili! mwingine anamatatizo ya kubwata! mwengine anaugonjwa wa sifa!
 
Back
Top Bottom