Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,937
- 25,279
Gazeti la Raia Mwema limeripoti kuwa watu wengine wamejitokeza kumshitaki aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Mfanyabiashara mmoja amenukuliwa na gazeti hilo akisema "Makonda ametufanyia mambo mengi kinyume na sheria za nchi.
Kuna wakati baadhi yetu, tulijaribu kumshitaki, lakini tukatishwa na baadhi ya waliojitambulisha kuwa maofisa wa Serikali hivyo tukalazimika kurudi nyuma"