Fitina zake anafikiri zinamsaidia!!!!??
Amewafitini akina SAS,SUMAYE...... na sasa akina Lowasa.
Yeye ni fitina tu.
Huku nimeona watu wanaandika vitu vitu na mammboo na mambo kuhusu Nyerere.
Sipendi kuyataja maana sio mambo mazuri.
Hawa watu wametumwa ili kumchonganisha Mwalimu na sisi Watanzania.
Sasa amefika pabaya mpaka anaanza kumugusa Mwalimu Nyerere??
Jamani tunajua ni fitina zake na tutapinga kwa nguvu zote Baba wa Taifa kuchafuliwa na Huyu Kilaza
Amewafitini akina SAS,SUMAYE...... na sasa akina Lowasa.
Yeye ni fitina tu.
Huku nimeona watu wanaandika vitu vitu na mammboo na mambo kuhusu Nyerere.
Sipendi kuyataja maana sio mambo mazuri.
Hawa watu wametumwa ili kumchonganisha Mwalimu na sisi Watanzania.
Sasa amefika pabaya mpaka anaanza kumugusa Mwalimu Nyerere??
Jamani tunajua ni fitina zake na tutapinga kwa nguvu zote Baba wa Taifa kuchafuliwa na Huyu Kilaza