HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,361
- 94,539
Wiki iliyopita Waziri wa NJE, Dr.Tax alisema Raia wa Kitanzania walio Sudani ni 170 na wako katika hali nzuri, mawasiliano yanaendelea.
Tumeona nchi kadhaa zimeshindwa ondoa Raia wake sababu hakuna Mawasiliano ya Ndege, Viwanja vya Ndege vimeharibiwa.
Tumeona Saudi Arabia aliamua kutumia Meli kuokoa watu kutoka nchi
India, Pakstan, Tunisia, Qatar, UAE, Syria etc
Marekani alipeleka Ndege za Kijeshi 8 na amefanikiwa ondoa Wafanyakazi wa Ubalozi na Familia zao, amefunga Ubalozi kwa shughuli zote za Kiraia kasoro Dharura tu ( Haijatajwa zipi ila haruhusiwi mtu kusogelea pale, na huenda ndege 8 zilipeleka wanajeshi na vifaa, chakula kwa kuilinda Ubalozi wao)
Japan na France wamepewa ruhusa ya pande zote kwenda chukua Raia wao, huku Japan ikiandaa wanajeshi 170 kwenda saidia okoa watu.
Mashirika kadhaa yametumia muda huu wa Masaa 72 kwenda okoa watu wao kwa magari.
Marekani imesema inaanda mpango na washirika wake ili waende kuondoa Raia wote wa Marekani na washirika wapatao 20,000
Je Tanzania tuna mpango gani kuwaokoa Watanzania wenzetu?
Je tutawaokoa au ndo yale yale ya Ukraine, kila mtuajitafute?
Tumeona nchi kadhaa zimeshindwa ondoa Raia wake sababu hakuna Mawasiliano ya Ndege, Viwanja vya Ndege vimeharibiwa.
Tumeona Saudi Arabia aliamua kutumia Meli kuokoa watu kutoka nchi
India, Pakstan, Tunisia, Qatar, UAE, Syria etc
Marekani alipeleka Ndege za Kijeshi 8 na amefanikiwa ondoa Wafanyakazi wa Ubalozi na Familia zao, amefunga Ubalozi kwa shughuli zote za Kiraia kasoro Dharura tu ( Haijatajwa zipi ila haruhusiwi mtu kusogelea pale, na huenda ndege 8 zilipeleka wanajeshi na vifaa, chakula kwa kuilinda Ubalozi wao)
Japan na France wamepewa ruhusa ya pande zote kwenda chukua Raia wao, huku Japan ikiandaa wanajeshi 170 kwenda saidia okoa watu.
Mashirika kadhaa yametumia muda huu wa Masaa 72 kwenda okoa watu wao kwa magari.
Marekani imesema inaanda mpango na washirika wake ili waende kuondoa Raia wote wa Marekani na washirika wapatao 20,000
Je Tanzania tuna mpango gani kuwaokoa Watanzania wenzetu?
Je tutawaokoa au ndo yale yale ya Ukraine, kila mtuajitafute?