Lazima tukubali Kenya ina sangoma viboko ile mbaya.
Mifano:
1. Kama mke au mume wako anachepuka basi sangoma wa Kenya wana dawa zakuwafanya hawa wachepukaji kunasiana wakati wa tendo la ndoa mpaka wewe mwenye mali uje uwanasue.
2. Hivi juzi bwana mmoja aliibiwa/alitapeliwa gari na mwizi mmoja. Mwenye gari hakwenda polisi bali alikwenda kwa sangoma. Sangoma alifanya vitu vyake na kumwambia mwenye gari atulie na kuwa huyo mwizi atalirudisha hilo gari na kujipeleka polisi mwenyewe. Kweli kabisa, baada ya siku tatu yule mwizi alishambuliwa na nyuki ndani ya lile gari la wizi na kujikuta anakimbilia polisi na funguo za gari la wizi mkononi.
WAZO
Hivi kwa nini Tanzania isiwakodi hawa sangoma kutoka Kenya kuja kufanya hizi dawa kuwakamata hawa mafisadi papa/nyangumi hapa nchini.
Fikiria kama wale wote waliokwapua hela za:
1. Eskro
2. IPTL
3. Meremeta
4. Mikataba mibovu ya madini
5. Wezi wa TRA
6. Uuzwaji haramu wa wanyamapori
7. Waliojenga majengo ya kufuru (mahekalu) kwa fedha chafu
8. n.k.
wangeng'atwa na nyuki mpaka wote wakimbilie Ikulu kurudisha visafleti vya pesa walizikwapua au kurudisha hatimiliki za mahekalu na maturbo V8 waliyoiba.
Mnaonaje, wazo langu lina mashiko?
Mifano:
1. Kama mke au mume wako anachepuka basi sangoma wa Kenya wana dawa zakuwafanya hawa wachepukaji kunasiana wakati wa tendo la ndoa mpaka wewe mwenye mali uje uwanasue.
2. Hivi juzi bwana mmoja aliibiwa/alitapeliwa gari na mwizi mmoja. Mwenye gari hakwenda polisi bali alikwenda kwa sangoma. Sangoma alifanya vitu vyake na kumwambia mwenye gari atulie na kuwa huyo mwizi atalirudisha hilo gari na kujipeleka polisi mwenyewe. Kweli kabisa, baada ya siku tatu yule mwizi alishambuliwa na nyuki ndani ya lile gari la wizi na kujikuta anakimbilia polisi na funguo za gari la wizi mkononi.
WAZO
Hivi kwa nini Tanzania isiwakodi hawa sangoma kutoka Kenya kuja kufanya hizi dawa kuwakamata hawa mafisadi papa/nyangumi hapa nchini.
Fikiria kama wale wote waliokwapua hela za:
1. Eskro
2. IPTL
3. Meremeta
4. Mikataba mibovu ya madini
5. Wezi wa TRA
6. Uuzwaji haramu wa wanyamapori
7. Waliojenga majengo ya kufuru (mahekalu) kwa fedha chafu
8. n.k.
wangeng'atwa na nyuki mpaka wote wakimbilie Ikulu kurudisha visafleti vya pesa walizikwapua au kurudisha hatimiliki za mahekalu na maturbo V8 waliyoiba.
Mnaonaje, wazo langu lina mashiko?