RAI: Majina ya viungo na vyakula kwa kingereza na kiswahili

Haya Mkuu gorgeousmimi Nitajie dawa zangu hizi kwa lugha ya kiingereza na Mkuu Globu Nitajieni Hizi dawa zangu kwa Lugha ya Kiingereza:

1.Bakalhad
2.manimani
3.Ubani dhukra
4.Mustaki
5.kungu Manga
6.Habbati soda
7.Sufa
8.Kakila
9.Makul arzak (buma)
10.Basbas jauza
11.Halilinji
12.Balinji
13.Albinji
14.Daarfilfil
15.Haltiti
16.Udi karaha

Mkuu MziziMkavu nimepata moja tu manemane=myrrh (commiphora abyssinica). Zingine holaa..... Nimeshindwa. Nakupa mji, nenda Makka ukahiji ukirudi uje na majibu.
 
Last edited by a moderator:
Haya Mkuu gorgeousmimi Nitajie dawa zangu hizi kwa lugha ya kiingereza na Mkuu Globu Nitajieni Hizi dawa zangu kwa Lugha ya Kiingereza:

1.Bakalhad
2.manimani
3.Ubani dhukra
4.Mustaki
5.kungu Manga
6.Habbati soda
7.Sufa
8.Kakila
9.Makul arzak (buma)
10.Basbas jauza
11.Halilinji
12.Balinji
13.Albinji
14.Daarfilfil
15.Haltiti
16.Udi karaha

Nimeipenda hii? Mzizi mkavu upo juu kama homa ya dengue
 
Last edited by a moderator:
farkhina, naomba kujua viungo hivi kwa kiswahili vinaitwaje
cauliflower, currypowder, broccoli. Kuna mapishi nimeyaona humu viungo hivyo vimehusika

Uzile kuna watu hawauelewi wanaita bizari ya pilau ndo mana mie natumia sana neno bizar ya pilau tena nakumbuka wewe ndio ulionifunza
 
Last edited by a moderator:
Hivi kungu manga ndo huitwa pia koma manga? Manake hiyo pomegranate najua ni koma manga. Tujuzane tafadhali
Kungu manga ni nutmeg.huwa ina kokwa
Moja tu ndani kubwa kidogo.
Komamanga ni tunda..yanapatikana hata kwenye bustani za nyumbani..mti wake ni mteke kama miti ya maua..hili lina mbegu nyingi ndogo ndogo ..
 
Back
Top Bottom