RAI: Majina ya viungo na vyakula kwa kingereza na kiswahili

Kipilipili

JF-Expert Member
May 25, 2010
2,272
1,880
Waungwana za jikoni?

Nina rai hapa kuwa tuweke kwa kiswahili na kingereza majina ya viungo vya chakula yaani spices pamoja na ingredients nyingine za kupikia na hata majina ya vyakula vilivyokwisha pikwa ili itusaidie tunapokuwa tunasoma recipe/menu za vyakula za kingereza tujuwe kinachokusudiwa.hii itawasaidia wale wanaosafiri na waliopo nje!

Ni ukweli ulio wazi japo wengi tunaficha kuwa wakati mwingine tunapata tabu kuagiza vyakula ughaibuni au hata nyumbani ikiwa menu ipo kwa kingereza. Sisemi kuwa hatujui kingereza,la hasha ila majina yanatutatiza.

Mfano kuna siku nilikwenda marikiti nkawa nataka kununua pilipili manga(pilipili mtama) na uzile, ila hapa nilipo kingereza si lugha inayotumika na mie sijui uzile na pilipili manga vyaitwaje kwa lugha ya hapa wala kingereza chake.

Nkaenda google translator na kuandika kwa kiswahili ili nipate jina la lugha ya hapa! Duuh ilikuwa majanga matupu lilikuja jina ambalo nlipomuonesha muuzaji akawa pia hajui japo lugha ilikuwa yake.

Hangaika hangaika hatimae nkajuwa pilipili manga kwa kingereza inavyoitwa, kisha nikatumia hilo jina la kingereza kutranslate kwenye lugha ya hapa na hatimae muuzaji akaelewa.huu ni mfano mdogo tu wengi huenda mshakutana na haya!

tutirike basi mfano:
Mdalasini-?
uzile-?
Tangawizi-?
biringanya?-
Kuku alieokwa-?

Chips zege-?(#mimi49 uliwahi kutaja jina lake hebu tukumbushe)
Hiyo ni mifano tu....karibuni wote! #Invisible ukiona inafaa tafadhali hii ifanye iwe sticky note ili isaide wengi
 
Birganyi ni purple aubergine/eggplant na chipsi mayai ni spanish egg potato tortilla! Kuku wakuokwa ni grilled au roasted chicken!
 
Mdalasini=cinamon
Tangawizi= ginger
Pilipili manga=black pepper
Cardamon= hiliki
Cirnamon= mdalasini
Coriender=uzile
Wengine watakuja kuongezea.

Asante mkuu, nimejifunza vya kutosha hapa
 
@xiexie,

Mdalasini=cinamon
Tangawizi= ginger
Pilipili manga=black pepper
Cardamon= hiliki
cumin=uzile
biringanya= Eggplant
chicken roast= Kuku aliye okwa.
 
Uzile ni cumin mpendwa na corriander ni giligiliani!
Haya Mkuu gorgeousmimi Nitajie dawa zangu hizi kwa lugha ya kiingereza na Mkuu Globu Nitajieni Hizi dawa zangu kwa Lugha ya Kiingereza:

1.Bakalhad
2.manimani
3.Ubani dhukra
4.Mustaki
5.kungu Manga
6.Habbati soda
7.Sufa
8.Kakila
9.Makul arzak (buma)
10.Basbas jauza
11.Halilinji
12.Balinji
13.Albinji
14.Daarfilfil
15.Haltiti
16.Udi karaha
 
Haya Mkuu gorgeousmimi Nitajie dawa zangu hizi kwa lugha ya kiingereza na Mkuu Globu Nitajieni Hizi dawa zangu kwa Lugha ya Kiingereza:

1.Bakalhad
2.manimani
3.Ubani dhukra
4.Mustaki
5.kungu Manga
6.Habbati soda
7.Sufa
8.Kakila
9.Makul arzak (buma)
10.Basbas jauza
11.Halilinji
12.Balinji
13.Albinji
14.Daarfilfil
15.Haltiti
16.Udi karaha

Ushasema ni dawa zako mi nitazijuaje?viungo vya chakula najua lakini si dawa zako habbat souda-blackseeds..nishaila kwenye maandazi pia najua...labda kama Globu atachukua wasaa wa kugoogle hivo vingine!
 
Haya Mkuu gorgeousmimi Nitajie dawa zangu hizi kwa lugha ya kiingereza na Mkuu Globu Nitajieni Hizi dawa zangu kwa Lugha ya Kiingereza:

1.Bakalhad
2.manimani
3.Ubani dhukra
4.Mustaki
5.kungu Manga
6.Habbati soda
7.Sufa
8.Kakila
9.Makul arzak (buma)
10.Basbas jauza
11.Halilinji
12.Balinji
13.Albinji
14.Daarfilfil
15.Haltiti
16.Udi karaha

Mkuu me hapo najua mbili tu...
Kungu manga - nutmeg
Habbat soda - black seeds
 
Ushasema ni dawa zako mi nitazijuaje?viungo vya chakula najua lakini si dawa zako habbat souda-blackseeds..nishaila kwenye maandazi pia najua...labda kama Globu atachukua wasaa wa kugoogle hivo vingine!

gorgeousmimi nimeshindwa duh! Hivi vitu nadhani vya uganga. Itabidi tumpe mji.
 
Last edited by a moderator:
Ushasema ni dawa zako mi nitazijuaje?viungo vya chakula najua lakini si dawa zako habbat souda-blackseeds..nishaila kwenye maandazi pia najua...labda kama Globu atachukua wasaa wa kugoogle hivo vingine!

gorgeousmimi nimeshindwa duh! Hivi vitu nadhani vya uganga. Itabidi tumpe mji.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom