free freed
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 239
- 139
Hivi Lizaboni, GENTAMYCINE, Faiza fox, Rutashobolwa, Annael, and Co hamjakumbukwa? Daaaaaaah mi mwenzenu naksklizia nafasi za Makatibu Tawala wa wilaya japo kuna Mwanazuoni mmoja kaniambia hizo ni nafasi za watumishi sio za kisiasa.