Ni sheria gani hiyo inayosema mtoto yatima haadhibiwi kwa fimbo!Yule alikusudia.
Mtoto ni yatima,
Adhabu ziko nyingi Sana sio lazima kupig Kama mwizi wa mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww huna akiliSishangai jibu lako
Najua ndo uwezo wa akili yko ulipofikia
Nina uhakika kwa akili yko lazima maisha yko mwenyewe yamekushinda mpaka ushikiliwe ka mkia, na watu wa kukushikilia hamuelewani maana hawakupend, mtu kama ww unaweza kujidhania huna nyota, ila sio swala la nyota ni swala la akili yko na jins unavyojiweka
Tulia wwNi sheria gani hiyo inayosema mtoto yatima haadhibiwi kwa fimbo!
Ualimu ni taaluma. Ni kweli kosa lipo lakini halienfani na adhabu ya mahakama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka ww ni mwalimu muhuni na mjinga na usipokuwa makini utaishia jelaSishangai jibu lako
Najua ndo uwezo wa akili yko ulipofikia
Nina uhakika kwa akili yko lazima maisha yko mwenyewe yamekushinda mpaka ushikiliwe ka mkia, na watu wa kukushikilia hamuelewani maana hawakupend, mtu kama ww unaweza kujidhania huna nyota, ila sio swala la nyota ni swala la akili yko na jins unavyojiweka
Bila shaka ww ni mwalimu muhuni na mjinga na usipokuwa makini utaishia jela
Ww huna akili
Kama umeumia sana kamtetee mwalimu mwenzioWatu wenye low iq bna