Habari zenu wa JF wenzangu! dah kumbe ukipata anaekupenda kwa dhati na si unaempenda kwa dhati raha sana eeeh mwenzenu nilikuwa sijawahi kulijua hili.
ila sasa ikitokea akakuwahi kukutema - utaumia sana.
kumbe ndivyo inavyokua!
Habari zenu wa JF wenzangu! dah kumbe ukipata anaekupenda kwa dhati na si unaempenda kwa dhati raha sana eeeh mwenzenu nilikuwa sijawahi kulijua hili.
Habari zenu wa JF wenzangu! dah kumbe ukipata anaekupenda kwa dhati na si unaempenda kwa dhati raha sana eeeh mwenzenu nilikuwa sijawahi kulijua hili.
Raha mwanzoni tu, akianza kukusumbua unakoma
Habari zenu wa JF wenzangu! dah kumbe ukipata anaekupenda kwa dhati na si unaempenda kwa dhati raha sana eeeh mwenzenu nilikuwa sijawahi kulijua hili.
Habari zenu wa JF wenzangu! dah kumbe ukipata anaekupenda kwa dhati na si unaempenda kwa dhati raha sana eeeh mwenzenu nilikuwa sijawahi kulijua hili.