johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Ni kwamba hakuna anayekubali kubakia nyuma kila mtu sasa anataka kuwa mbunge ili afaidi mema ya uchumi wa kati.
Usipochukua fomu za kugombea Ubunge unaonekana ni mshamba au ni mbahiri usiyetaka kuchangia chama.
Ngoja tuone kama na kesho foleni ya kuchukua fomu itakuwa ndefu kama ya leo.
Hongereni Ufipa maana kuna majimbo hakuna wagombea au kuna mgombea mmoja tu kama Bunda mjini.
Maendeleo hayana vyama
Usipochukua fomu za kugombea Ubunge unaonekana ni mshamba au ni mbahiri usiyetaka kuchangia chama.
Ngoja tuone kama na kesho foleni ya kuchukua fomu itakuwa ndefu kama ya leo.
Hongereni Ufipa maana kuna majimbo hakuna wagombea au kuna mgombea mmoja tu kama Bunda mjini.
Maendeleo hayana vyama