Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

Dr Jeremiahs

Member
Sep 4, 2020
39
306
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.

Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.

Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.

Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.

Mwanamke anajua kuhack sms/calls.

Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupata.

Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.

Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.

Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.

Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.

"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.

Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.

Kwako msomaji nini maoni yako?
 
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto ndani pachangamke sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya. Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.

Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.

Kwako msomaji nini maoni yako?
Oa la saba B, hawana mambo mengi
 
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto ndani pachangamke sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya. Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.

Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.

Kwako msomaji nini maoni yako?
Mke anfuatilia nyuzi za Robert Heriel Mtibeli na Mshana Jr na kuzielewa kindakindaki?
Huyo siyo mke bali FBI
 
Mwanamke wa hivyo anaboa raha ya Mwanamke ajue vitu vingi mkae mbishane mcheke mfurahi , nakubadilishana mawazo🤔🤔🤔

Sio unakua na mwanamke yeye kama goigoi tu kila kitu😂
Uko sahihi, mwanamke anatakiwa awe best friend.

Best friend ni mtu ambae mnaendana kwny mambo mengi, mkitaka kuidis stoicism mnaidis tu.

Mwanamke ambae hamuwezi kubishana kwa hoja anaboa.

Anakuwa na kazi ya kufanya usafi tu na kupanua mapaja. Ukimaliza hapo unaanza kutafuta watu wa kujadili nao ligi ya uingereza!
 
Mke anfuatilia nyuzi za Robert Heriel Mtibeli na@Mshana Jr na kuzielewa kindakindaki?
Huyo siyo mke bali FBI
Lakini wanawake wengi, mitandao yao Facebook, instagram, tiktok na mitandao za umbea umbea, radio watasikiliza vipindi vya umbea umbea, ukimkuta anayefuatilia dini basi channel utakaso kuta kwenye ni TV ni Upendo tv, Arise ya mwamposa
 
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto ndani pachangamke sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya. Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.

Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.

Kwako msomaji nini maoni yako?
Mkuu,

Unajua mpaka nchi inaongozwa na mwanamke?
 
Uko sahihi, mwanamke anatakiwa awe best friend.

Best friend ni mtu ambae mnaendana kwny mambo mengi, mkitaka kuidis stoicism mnaidis tu.

Mwanamke ambae hamuwezi kubishana kwa hoja anaboa.

Anakuwa na kazi ya kufanya usafi tu na kupanua mapaja. Ukimaliza hapo unaanza kutafuta watu wa kujadili nao ligi ya uingereza!
Kabisa mkuu unakuta upo na mwanamke hajui chochote zaidi ya aina za vijora anaboa mno😂
 
Back
Top Bottom