Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,206
- 2,948
Hahaaahahahaha mwanakulipataAtakuja na uzi wake wakusema wanawake sio watu sijui walipewa code na shetani
Kumbe yeye mwenywe ni mwanakulitafuta
Hahaaahahahaha mwanakulipataAtakuja na uzi wake wakusema wanawake sio watu sijui walipewa code na shetani
Kumbe yeye mwenywe ni mwanakulitafuta
Na nani? inawezekana kuwa ni Mimi mkuu..Mkuu kama nakufananisha vile
Mie nasubiri mrejesho tuuWanawake ni viumbe watamu ukijua kuwatumia halafu hisia za mapenzi usipojua kuziendesha utaumia wewe! Namaana utamu na uchungu wa mapenzi ni wewe mwenyewe chagua moja.
Mapenzi yalivyo matamu siwezi ingia nusunusu lazima nizame mazima😋
Wivu tu
ha ha ha .... hawa vijana huwa ni wagumu kuelewa na wepesi kusahau