Raha ya mapenzi uingie mzimamzima!

Unavyotoka mzima mzima uje utupe pia mrejesho mkuu.mana umeshatupa uzi wa kuingia tayar
 
Atakuja na uzi wake wakusema wanawake sio watu sijui walipewa code na shetani
Kumbe yeye mwenywe ni mwanakulitafuta
Wanawake ni viumbe watamu ukijua kuwatumia halafu hisia za mapenzi usipojua kuziendesha utaumia wewe! Namaana utamu na uchungu wa mapenzi ni wewe mwenyewe chagua moja.

Mapenzi yalivyo matamu siwezi ingia nusunusu lazima nizame mazima😋
 
Back
Top Bottom