Lager
JF-Expert Member
- Mar 4, 2019
- 389
- 1,075
Kuingia mzimamzima ndio utamu wake ni kama dimbwi unajitupia tu pwaaaaa!
Sio unaingia kwenye mapenzi mguu nje mguu ndani,hiyo haifai hutafaidi na unakuwa unajishitukia na hofu zisizomaana!.
Hata Kama ni ya uongo we ingia mzimamzima tu ule mema ya dunia maisha ni mafupi haya ukizubaa yatakukula wewe na sura lako!.
Isipokuwa tu, unapoingia mzimamzima mambo yakiharibika ujue na kutoka mzimamzima ukizubaa tu ukatoka kama kinyonga basi yatakupata ya yule kambare wa Hamida!
Na ukiona yameharibika hapohapo bila kusubiri dandia tawi jengine ili upoze maumivu yale ya hovyohovyo yanayojitokeza kama kinyampo mashuhuri!
Na mwenye kushika na ashike.
Priscar niuwe mama.😅
Sio unaingia kwenye mapenzi mguu nje mguu ndani,hiyo haifai hutafaidi na unakuwa unajishitukia na hofu zisizomaana!.
Hata Kama ni ya uongo we ingia mzimamzima tu ule mema ya dunia maisha ni mafupi haya ukizubaa yatakukula wewe na sura lako!.
Isipokuwa tu, unapoingia mzimamzima mambo yakiharibika ujue na kutoka mzimamzima ukizubaa tu ukatoka kama kinyonga basi yatakupata ya yule kambare wa Hamida!
Na ukiona yameharibika hapohapo bila kusubiri dandia tawi jengine ili upoze maumivu yale ya hovyohovyo yanayojitokeza kama kinyampo mashuhuri!
Na mwenye kushika na ashike.
Priscar niuwe mama.😅