Raha ya maisha, kumpagia mkweo kwenye bodaboda, akatafute maisha , wakati wewe uko kwenye nyumba ndo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,080
Raha ya maisha, kumpagia mkweo kwenye bodaboda, akatafute maisha , wakati wewe uko kwenye nyumba ndogo





Raha ya maisha, kumpagia mkweo kwenye bodaboda, akatafute maisha , wakati wewe uko kwenye nyumba ndogo una kula maisha na machangudoa, acha acha, tenda wema kwa mkeo, kila siku, kunywa konyagi kiroba kimoja, utapata nguvu usiku kucha, mpe raha ya maisha
 
Raha ya maisha, kumpagia mkweo kwenye bodaboda, akatafute maisha , wakati wewe uko kwenye nyumba ndogo





Raha ya maisha, kumpagia mkweo kwenye bodaboda, akatafute maisha , wakati wewe uko kwenye nyumba ndogo una kula maisha na machangudoa, acha acha, tenda wema kwa mkeo, kila siku, kunywa konyagi kiroba kimoja, utapata nguvu usiku kucha, mpe raha ya maisha
anarudishwa kwenye shida alikokimbia .....hahahahaa
 
Hilo wazo la leo linaungana na hili pia,hatauwe na mbio vipi huwezi kukimbia kifo...
 
Akili yangu imeingiwa na mdudu gani sijui... mada nyingi sizielewi ati... sijui ni hii mibange tunayovuta..
 
Hilo wazo la leo linaungana na hili pia,hatauwe na mbio vipi huwezi kukimbia kifo...

Samahani, kuna msahafu mmoja unasema Yesu atakaporudi atawakuta wengine wako shambani wanalima, wengine wanapaa samaki,nk nk. Sasa hawa siwatakuwa wamekwepa kufa? Mwenye kifungu hicho atuwekee hapa, kinaweza kusaidia.

Kuna watu hawatakufa,ila watamalaki mesia akija toka mawinguni wakiwa hai.
 
Akili yangu imeingiwa na mdudu gani sijui... mada nyingi sizielewi ati... sijui ni hii mibange tunayovuta..

Nyuzi za hivyo uwe unaziacha bila kumaliza kusoma, utaanza kukusanya makopo ya maji ya uhai sasa hivi.
 
Back
Top Bottom