Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,320
- 6,806
Ukiwa napesa za kutosha then ukawa hunywi pombe utafanya mabo mengi ya maendeleo, utajenga, utasomesha watoto , utafungua miradi ya maendeleo, utanunu gari nzuuri .nk....
Jamani jihadharini na unywaji pombe mnapopata pesa kwani inawafanya muwe watumwa wa pombe na mshindwe kufanya shughuli za maendeleo....angalia walevi wengi familia zao, magari yalivyo mabovu, afya zao n.k
......................................................................
Jamani jihadharini na unywaji pombe mnapopata pesa kwani inawafanya muwe watumwa wa pombe na mshindwe kufanya shughuli za maendeleo....angalia walevi wengi familia zao, magari yalivyo mabovu, afya zao n.k
......................................................................