Raha ya kupanda Dala Dala(Tupe kituko ulichowahi kuona au kusikia kwenye dala dala

Sharobaro: Kuna kiti? Kama hamna kiti sipandi
Konda: Kama unaogopa kukosa kiti si ungebeba chako?
 
Sister Du: Konda unanibana bwana
Konda: Mbona nguo ulizovaa uzisemi, kama ulitaka kujiachia ungekodi treni peke yako..
 
konda:hamna kuingia kweny gari hapa darasa limejaa
dent wa kike: una roho mbaya kama hujazaa vile.
akatokea teja (mpiga debe),akamjibu dent,kwani huyu ana K mpaka azae...kila mtu kimya full aibu
 
Raha ya kupanda daladala ni muda wa jioni ukiwa unatoka Posta unaelekea Mbezi ya kimara, kitu nyomi halafu unakuwa umewekwa kati mmesimama na shori zenye mambo ya ukweli, safari utaiona fupi na hata hutalalamika kubanwa, full kubambia. Acha bwana!
 
Raha ya kupanda daladala ni muda wa jioni ukiwa unatoka Posta unaelekea Mbezi ya kimara, kitu nyomi halafu unakuwa umewekwa kati mmesimama na shori zenye mambo ya ukweli, safari utaiona fupi na hata hutalalamika kubanwa, full kubambia. Acha bwana!
:lol::lol::lol:
 
dala dala zetu huku bonyokwa zikishajaa abiria lazima zisukumwe so abiria tunaambiwa tunyanyue miguu kupunguza uzito...
 
Konda: Mama usining'inie mlangoni!
Mama: We huoni kama gari limejaa?
Konda: Ingiza hata kichwa tu! mbele kuna Trafiki wasijetupige faini!
 
Hakuna raha kupanda dala dala usiku misa saa 5 mpaka 7 alafu uwe unatoka K'koo unakwenda njia ya migo migo.....aiseeee balaa...alafu iwe ijumaa kudadadadeki

alafu upande dala dala saa 11 alfajiri unatoka mitaa ya posta-ka'koo unapitia burujinai mama yangu...raha sana aiseee...na iwe jmosi mama yangu unakutana na totozi zimetoka sokoni sasa wanakuwaga wanabadilishiaga nguo zao kwenye dala dala aiseee yaani vituko vituko....
 
me huwa napenda sana daladala linalovuja kipindi cha mvua
icon7.png
 
Back
Top Bottom