big-diamond
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 421
- 551
Nimegundua kwamba watu wanapokwenda kazini asubui huwa wana hasira ya kazi na wanaporudi majumbani huwa wana stress za kazi na kuanza kukumbuka uvundo uliotokea siku nzima!sasa usiombe ukapanda gari ambalo kuna konda mkorofi,!!
Mmama: Konda ondoa gari kuna joto,
Konda: Usituzingue wewe, kama vipi shuka upande fridge!:A S 465:
Mmama: Konda ondoa gari kuna joto,
Konda: Usituzingue wewe, kama vipi shuka upande fridge!:A S 465: