Raha ya kuichagua CCM

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,448
154,313
374506_396670357074964_1123353808_n.jpg
 
hehehe maisha bora kwa kila mtanzania ndio hayo!!
Tunaangamia kwa ujinga wetu wenyewe lol
 
Ee Mungu natamka na naapa mbele zako baba ukiwa kama shahidi kwamba kuanzia sasa (leo) si mwanachama wa ccm tena, na kamwe sitorudi ccm wala kuipigia kura ccm,

Na endapo nitaipigia basi Mungu hapo ktk chumba cha kupigia kura au popote uchukue uhai wangu ili niwe mtu wa motoni daima.

Nitaichagua chadema, nitaipenda chadema na kuitumukia chadema miele daima.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom