Raha ya kuchenjua makinikia

sambeke

JF-Expert Member
Nov 26, 2014
713
652
Juzi nilikuwa nachenjua makinikia guest house na acacia wangu Mara ghafla nyoka akapita pembeni acacia wangu akapiga kelele muhudumu akaja na watu wakajaa Sana imesemekana nilikuwa nachenjua Bila kulipa kodi na nilikuwa nachenjua mtaani kwetu nifanyeje nijisafishe??? Natamani niichukue private jet niondoke kwa aibu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom