Teamo JF-Expert Member Jan 9, 2009 12,272 1,034 Nov 30, 2009 #3 fake!fake fake! DAMN FAKE! are these celebrations MANDATORY?.............why are the fellows forcing lyf?
fake!fake fake! DAMN FAKE! are these celebrations MANDATORY?.............why are the fellows forcing lyf?
Pretty JF-Expert Member Mar 19, 2009 2,575 552 Nov 30, 2009 #4 Hii ni zilipendwa, sidhani kama kuna harusi kama hizi siku hizi.
IronBroom JF-Expert Member Jun 12, 2008 521 36 Dec 1, 2009 #5 Pretty said: Hii ni zilipendwa, sidhani kama kuna harusi kama hizi siku hizi. Click to expand... Zina tatizo gani?Wataka ndoa au harusi?
Pretty said: Hii ni zilipendwa, sidhani kama kuna harusi kama hizi siku hizi. Click to expand... Zina tatizo gani?Wataka ndoa au harusi?
Babylon JF-Expert Member Feb 5, 2009 1,332 82 Dec 1, 2009 #6 Pretty said: Hii ni zilipendwa, sidhani kama kuna harusi kama hizi siku hizi. Click to expand... zipo bado, kwani kila mtu hujikuna ajipatapo , na sio kila mtu anauwezo kama ulionao wewe na wengine .
Pretty said: Hii ni zilipendwa, sidhani kama kuna harusi kama hizi siku hizi. Click to expand... zipo bado, kwani kila mtu hujikuna ajipatapo , na sio kila mtu anauwezo kama ulionao wewe na wengine .
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,374 Dec 1, 2009 #7 nimefurahi sana bwana harusi si lazima mkafanyie vikao kempisiki mradi kuwa na furaha amani na upendo
nimefurahi sana bwana harusi si lazima mkafanyie vikao kempisiki mradi kuwa na furaha amani na upendo
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Dec 1, 2009 #8 Pretty said: Hii ni zilipendwa, sidhani kama kuna harusi kama hizi siku hizi. Click to expand... Zipo kama kazi...Kijijini kwangu its the order of the day.. Ni nzuri sana, zinaleta peace of mind, na zaidi sana zina upako wa ajabu!
Pretty said: Hii ni zilipendwa, sidhani kama kuna harusi kama hizi siku hizi. Click to expand... Zipo kama kazi...Kijijini kwangu its the order of the day.. Ni nzuri sana, zinaleta peace of mind, na zaidi sana zina upako wa ajabu!