Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Vip kuna mechi nyingine iliyobaki?
Tusubirie Rage azitafute nyingine maana chaguo la kwanza limemuumbuaVip kuna mechi nyingine iliyobaki?
Tunasubiri tamko rasmi toka kwa RageVip kuna mechi nyingine iliyobaki?
Aje azitaje kabisa maana tupo tunaandaa dozi kulingana na umri wa anayetakiwa kupata haki yake.Tunasubiri tamko rasmi toka kwa Rage
Kwanz aaojjiwe uwalali wa uraia wake
Akatukilie msomali huyo
Ukiwa mwongo hupaswi kupoteza kumbukumbuAisee!! Huyu si ndio aliwaitaga wenzake Mbumbumbu.
Kabisa Mkuu.Ukiwa mwongo hupaswi kupoteza kumbukumbu
Wahurumie vijana wengine button za simu zao ni ngumuKwanz=Kwanza
aajjiwe=ahojiwe
uwalali=uhalali
Akatukilie ndio nini?
Wahurumie vijana wengine button za simu zao ni ngumu