Tanzania1960
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 204
- 22
mheshimiwa mzee rage amesema atamfunga yanga goli tano kama sio sita kwenye ligi round iijayo ,hii nimesoma kweye tanzania daima.
Asante sana kusema hilo hapo kwenye mkutano ,kwa sababu wewe tunakujua utafanya nini baada ya kupokea ile ripoti ya azam iko tukukuru.
Asante sana kusema hilo hapo kwenye mkutano ,kwa sababu wewe tunakujua utafanya nini baada ya kupokea ile ripoti ya azam iko tukukuru.