MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage Tutu Vengere, amepewa saa 48 na viongozi wa matawi ya Simba mkoa wa Dar es Salaam, awe ametangaza kwa hiari yake kujiuzulu kutokana na kuisigina katiba yao.
Wamesema asipatii amri hiyo ndani ya mda huo basi sebule yake huko kwenye nyumba ya msajili alikopanga wataijaza choo.