EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Hii siyo story ni ukweli na mda huu nipo na mmoja wa wahuska.
Kuna jamaa anaishi na mke ambaye hawajafunga ndoa lakini ni miaka 5 sasa na wana mtoto mmoja, kimsingi jamaa anavyodai wameishi kwa kuvumiliana sana ingawa kwa misukosuko,magomvi,migogoro.
Walikutana wakiwa A\level wakaenda chuo mpaka wakahitimu wako wote.
Sasa tukio la hivi karibuni ni kwamba walizozana na mkewe,mkewe akadai waachane lakini jamaa akamwambia sioni wala sina sababu ya kuachana na wewe.
Jamaa kaenda mbali zaidi akamkumbusha mkewe kumbuka tulikotoka,tuliwahi ishi maisha ya kulala kesho hatujui tunakula nini,bt mkewe haelewi basi jamaa kamwambia mkewe apige simu kwao kwa mama ake na ndugu zake awataarifu kwamba wanatengana na atoe sababu.
Jamaa yeye alishafka ukweni kwa shinikizo la mkewe na alipokelewa vizuri sana mpaka pa kulala,mama mkwe alimkubali sana jamaa,hivyo anahisi aibu sana leo aseme anaachana na mtoto wao tena kwa shinikizo la mtoto wao.
Sasa tokea hiyo juzi mpaka leo xmass mke hapiki wala hafanyi,jamaa yuko njiapanda sana.
USHAURI WENU WANA MM
Kuna jamaa anaishi na mke ambaye hawajafunga ndoa lakini ni miaka 5 sasa na wana mtoto mmoja, kimsingi jamaa anavyodai wameishi kwa kuvumiliana sana ingawa kwa misukosuko,magomvi,migogoro.
Walikutana wakiwa A\level wakaenda chuo mpaka wakahitimu wako wote.
Sasa tukio la hivi karibuni ni kwamba walizozana na mkewe,mkewe akadai waachane lakini jamaa akamwambia sioni wala sina sababu ya kuachana na wewe.
Jamaa kaenda mbali zaidi akamkumbusha mkewe kumbuka tulikotoka,tuliwahi ishi maisha ya kulala kesho hatujui tunakula nini,bt mkewe haelewi basi jamaa kamwambia mkewe apige simu kwao kwa mama ake na ndugu zake awataarifu kwamba wanatengana na atoe sababu.
Jamaa yeye alishafka ukweni kwa shinikizo la mkewe na alipokelewa vizuri sana mpaka pa kulala,mama mkwe alimkubali sana jamaa,hivyo anahisi aibu sana leo aseme anaachana na mtoto wao tena kwa shinikizo la mtoto wao.
Sasa tokea hiyo juzi mpaka leo xmass mke hapiki wala hafanyi,jamaa yuko njiapanda sana.
USHAURI WENU WANA MM