Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Ukipatikana utaratibu mpya wa kuweza kupata watoto na kuwalea vyema bila kuishi kwenye committed marriage itakuwa poa sana..na life expectancy ya wanaume itaongezeka mara dufu.

For the meantime tukubali tu kuwa bila ndoa bora taifa hili sijui litakuwa na kizazi cha namna gani.
Ni mtihani na kitendawili kikubwa kwakweli

Kuna time unakata tamaa na kuchukia kabisa haya mahusiano

Ila kuna time unatamani umpate wa kutulia nae na kumpa mapenzi yako

Tatizo ni pale yule unaewekeza upendo wako kwake anakukorogea mambo meusi mpaka unakoma
 
Nyie oeni tu.

Jana nikiwa ofisini, alikuja jamaa ni fundi ofisi ya jirani hapa kwetu. Karudi kutoka shamba alikohamia baada ya kuona maisha ya mjini hayakai sawa, akaamua yeye na mkewe warudi zao shamba kama miaka miwili sasa na kule shamba wana mashamba ya familia hivyo ni uwezo wako tu wa kuyahudumia.

Jamaa akaanza kulima Ufuta, huku kwingine akiwa na minazi, yeye Ufuta aliacha ukiwa umeshavunwa mwezi wa pili alivokuja tena town. Mwezi wa
Laaulaah! Yan kila siku vituko haviishi hapa duniani aisee hawa wanawake wa kizazi cha nyoka wana shida gani
 
Hatujapata kujua ukweli toka upande wa pili .

Kuna uwezekano mkubwa huyo Mwanaume akawa ndiye mkosaji zaidi kwa kuzaa nje ya ndoa na mwanamke mwingine.

Pengine makosa yake ndio yamefanya dhamiri yake imhukumu ndani kwa ndani hadi kuangamia.

Kuna Habari sahihi ukizisikia Mwanaume wa ndoa amemfanyia mkewe utachoka sana!

Kuna Mwanaume anafika mahala hatunzi familia hela yote inaishia kwa mahawara!

Kuna Mwanaume mwingine anatumika nje ya ndoa sana wakati kwa mkewe nguvu anakuwa hana.

Kuna matukio ya ajabu kwenye ndoa Yani ukiwasikiliza wanandoa tofauti tofauti utachoka.
 
Unaijua maana ya kuvumiliana kwenye ndoa?

Yatakupata mabaya kuliko hata yaliyompata mwenzi wako Ni swala la muda tu.


Hivi kipimo cha uvumilivu ni kipi kwa mfano?

Je avumiliwe mtu anayeendelea kufanya makosa ya makusudi hata baada ya kuonywa mara kadhaa?
 
Ni mtihani na kitendawili kikubwa kwakweli

Kuna time unakata tamaa na kuchukia kabisa haya mahusiano

Ila kuna time unatamani umpate wa kutulia nae na kumpa mapenzi yako

Tatizo ni pale yule unaewekeza upendo wako kwake anakukorogea mambo meusi mpaka unakoma
Yeah..

Ulichosema ni kweli kabisa.
 
No noo,unakosea mkuu.kumwita wizard mtu ingali hujui anapitia nn.unakosea.But it is okay huenda ulivyoandika ivo moyo wako umepata ahueni
Don't judge a book by it's cover inaonekana ulivutiwa nae sana b4 hujagundua madhaifu yake Sasa unaumia sana na kujuta
 
Back
Top Bottom