Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,635
Ni mtihani na kitendawili kikubwa kwakweliUkipatikana utaratibu mpya wa kuweza kupata watoto na kuwalea vyema bila kuishi kwenye committed marriage itakuwa poa sana..na life expectancy ya wanaume itaongezeka mara dufu.
For the meantime tukubali tu kuwa bila ndoa bora taifa hili sijui litakuwa na kizazi cha namna gani.
Kuna time unakata tamaa na kuchukia kabisa haya mahusiano
Ila kuna time unatamani umpate wa kutulia nae na kumpa mapenzi yako
Tatizo ni pale yule unaewekeza upendo wako kwake anakukorogea mambo meusi mpaka unakoma