Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,488
...
NawasuburiPole yake. Ngoja wataalam waje kuelezea namna ya kuipata
Hamjawahi kukosekana...I Phone 7 mpya bado zipo kwenye market?
Mimi si mtu wa kufuatilia sana masoko ya simu so sina cha kukujibu kwenye hilo nachohitaji ni msaada kama nilivyomalizia hapo chini ya uziI Phone 7 mpya bado zipo kwenye market?
Kuna zile za kichina mkuu...I Phone 7 mpya bado zipo kwenye market?
Asante kwa kumuelewesha kwa uchacheKuna zile za kichina mkuu...
Lakini mkuu si kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yakeUnamilikije simu ya Bei ghali hvyo acha aibiwe tu ingekuta Ni infinx asingelalamika
Kuna babu mmoja namjua yupo tanga kama unataka kumtungeneza huyo mwizi wee njoo pm nikupe connectionWakuu wazima humu ndani? Dah siku ya jana mida kama hii mchana. Rafiki yangu wa kike mmoja alikuwa akitokea ferri kwa usafiri wa mwendokasi akiwa ameweka simu yake kwenye beg la mgongoni lakini kabla ya kufika alipokuwa akienda alikuja kushtuka beg lake likiwa wazi na simu yake aina ya iPhone 7 ikiwa imeshaibiwa maeneo ya Fire
So sad... Simu sio ya kwangu but imeniuma sana maana simu kanunua mwezi machi tu hapa ikiwa mpya na haijamaliza ata miezi mingi tayari imeibiwa
Hawa wezi wa Dar bhana... Binafsi tokea nimezaliwa mpaka leo hii sijawai kuibiwa kitu changu popote pale nitakapoenda na sitamani ije itokee kwangu kitu kama hicho.
Je wakuu hapo hakuna namna nyingine inaweza kurudi?
TunashukuruPoleni jamani
Kama mmiliki ana IMEI numba na risiti uwezekano upo japo polisi nao wakiipata wanakausha nayoAliyeibiwa simu ni wewe wala hakuna cha rafiki yako wa kike,
Ndio maana umejiwahi kwa kusema kua wewe hujawahi kuibiwa kitu!
Sasa nyoosha kwanza maneno ili tukupe maujanja umnase mwizi wako live.
Ukiamini ni mimi ndie niliyeibiwa simu basi wala sihitaji msaada wako.... JF kila mtu hujikuta anajua kila kitu huku mnasahau huko kujifanya mnajua kila kitu ndiko kuishusha heshima yenuAliyeibiwa simu ni wewe wala hakuna cha rafiki yako wa kike,
Ndio maana umejiwahi kwa kusema kua wewe hujawahi kuibiwa kitu!
Sasa nyoosha kwanza maneno ili tukupe maujanja umnase mwizi wako live.
SawaUnamilki simu ya milion tatu ili upige picha tuna kuwangalia kina Bab level
Africa hawana akili acha aibiwe tu