Shati na tai tuu umeshaanza kuwaza ufirauni, angekuletea boksa siungembaka kweli wewe?Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.
Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
Nunua viatu vizuri Mpelekee... Wazo la chupi kwa hatua za awali hivi sio powa. Halafu siumesema unamtu wako tokea 2011? Kaka wewe ni ilibisi.Ndio nataka nijibu mashambulizi nikukapelekea chupi la pink tu
Maana yake ukafanye zile biashara za promosheni.Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.
Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.
Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
Mkuu ulitaka akupe zawadi gani??? Sasa angekupa boxa ingekuwaje maana shati tu unakuja kufungua uzi
Anatamani muunganishe vikojoleo vyenu