Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 359
- Thread starter
- #21
hiki ndio kitu kigumu kwangu sasa, maana nilishapenda tangu 2011Ushapendwa kaka hapo bado ndoa tu kazi kwako
hiki ndio kitu kigumu kwangu sasa, maana nilishapenda tangu 2011Ushapendwa kaka hapo bado ndoa tu kazi kwako
Maana yake, be a gentleman. Anakuona una utoto utoto mwingiNdugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.
Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wasiwasi wangu naweza kuzamia mazima nikasahau wakwangu wa moyoniWasikuchote akili huyo anataka kuliwa kimasihara tuuuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣niwe zoba tenaMaana yake, be a gentleman. Anakuona una utoto utoto mwingi
🤣🤣🤣🤣🤣Maana yake uanze kwenda kanisani.
hapa ndio changamoto sasa ilipo, kuna mahali nilishazama tayari tangu 2011,Anatamani muunganishe vikojoleo vyenu
Kwa mwanaume tulia sehemu unayopendwa sio unayopenda utakuja nikumbuka sikuhiki ndio kitu kigumu kwangu sasa, maana nilishapenda tangu 2011
Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.
Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
Mkuu hivi inawezekana kweli ukatulia kirahisi rahisiKwa mwanaume tulia sehemu unayopendwa sio unayopenda utakuja nikumbuka siku
Ndio nataka nijibu mashambulizi nikukapelekea chupi la pink tuMaana yake nawe umpelekee gagulo, chupi na sidiria/bra kama zawadi.
Tatizo mm namwogopa mkuu, maana kapo vizuri kwenye sura mm nmechukulia kama rafiki yangu tu, lkn kisanga ndio kimenigeukia hivyo.Huyu mama anakupenda sema wewe ujiongezi bro
Akili za kibongo utaona anakutongoza hapana. Kakuona upo rafu haujipendi.. hiyo ni meseji send.. Nadhani nimeeleweka kijana kuwa msafi. R.I.P JPMNdugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.
Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
Unavaa kama jangili ..
Anapenda rafiki yake awake,, acha kuvaa kama mjomba kutoka njombe mkuu Weka pamba ueleweke