GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,874
Nimetoka Kumsikia Msimamizi Mkuu wa Uwanja wa Maji Maji huko Songea (Mkoani Ruvuma) utakaotumika katika Nusu Fainali ya ASFC Kesho kati ya Azam FC na Simba SC nimebaki Kusikitika na hata Kukasirika pia.
Ukweli ni kwamba hadi GENTAMYCINE naandika Uzi huu hivi sasa Uwanja upo tayari kwa 75% hadi 85% tu huku Magoli yakiwa bado hayajichimbia vizuri na Cement, Nyasi zenyewe haziko imara, Majukwaa yapo yenye 'Kreki' na huko Vyooni ndiyo balaa na huenda Kesho Mashabiki wakishikwa na Haja Kubwa basi wakanyeana tu Vichwani mwao.
Rais wa TFF Wallace Karia leo sitaki Kukusema (Kukusiliba) ukizingatia Wewe pia ni mwana Msimbazi Mwenzangu 'lia lia' ila Msimu ujao Nusu Fainali hizi za Fainali mzipangie katika Viwanjani vizuri ama hapa Dar es Salaam au kule Kisiwani Zanzibar.
Ninakutakia Ushindi mwewa hapo TFF.
Ukweli ni kwamba hadi GENTAMYCINE naandika Uzi huu hivi sasa Uwanja upo tayari kwa 75% hadi 85% tu huku Magoli yakiwa bado hayajichimbia vizuri na Cement, Nyasi zenyewe haziko imara, Majukwaa yapo yenye 'Kreki' na huko Vyooni ndiyo balaa na huenda Kesho Mashabiki wakishikwa na Haja Kubwa basi wakanyeana tu Vichwani mwao.
Rais wa TFF Wallace Karia leo sitaki Kukusema (Kukusiliba) ukizingatia Wewe pia ni mwana Msimbazi Mwenzangu 'lia lia' ila Msimu ujao Nusu Fainali hizi za Fainali mzipangie katika Viwanjani vizuri ama hapa Dar es Salaam au kule Kisiwani Zanzibar.
Ninakutakia Ushindi mwewa hapo TFF.