Rafiki yangu mpya muathirika aliniambia michepuko sio dili, niwe natumia condom

Bzimana

JF-Expert Member
Mar 18, 2013
551
156
Habari wanajamvi?

Jana nilifika hospitali fulani hapa mwanza kumuona dakitari katika shida zangu binafsi, nikakaa katika sehemu ya kupumzikia wagonjwa nikisubili aniite, nikiwa nimejichanganya eneo hilo nikapata nafasi ya kubadilishana namba na binti mmoja, mida ikafika mwenyeji wangu akaniita, katika process za kuagana aliniambia, ''wale pale ni waathirika, wanasubiri dawa zao'' nilishangaa sana kwani walikuwa na afya nzuri, walikuwepo wakinamama, watoto, kinababa, mabinti warembo wenye viuno, waliojipamba wakapambika.

Jioni nilipata simu kutoka kwa yule dada kwenye maongezi nilimweleza shida iliyonifikisha hospitalini, nae aliniambia ukweli alikuwa pale kupata dawa zao na aliniomba tukutane J'pili anataka kunieleza jambo.

Kitu kinachonisumbua kichwani tangu jana kila nikimwona binti mrembo ninamwona kama muathirika na pia NIMEJIFUNZA:

1. Kamwe sio rahisi kumtambua muadhirika kwa kumtazama.

2. Tuwe tunatumia kondom,
 
Habari wanajamvi?

Jana nilifika hospitali fulani hapa mwanza kumuona dakitari katika shida zangu binafsi, nikakaa katika sehemu ya kupumzikia wagonjwa nikisubili aniite, nikiwa nimejichanganya eneo hilo nikapata nafasi ya kubadilishana namba na binti mmoja, mida ikafika mwenyeji wangu akaniita, katika process za kuagana aliniambia, ''wale pale ni waathirika, wanasubiri dawa zao'' nilishangaa sana kwani walikuwa na afya nzuri, walikuwepo wakinamama, watoto, kinababa, mabinti warembo wenye viuno, waliojipamba wakapambika.

Jioni nilipata simu kutoka kwa yule dada kwenye maongezi nilimweleza shida iliyonifikisha hospitalini, nae aliniambia ukweli alikuwa pale kupata dawa zao na aliniomba tukutane J'pili anataka kunieleza jambo.

Kitu kinachonisumbua kichwani tangu jana kila nikimwona binti mrembo ninamwona kama muathirika na pia NIMEJIFUNZA:

1. Kamwe sio rahisi kumtambua muadhirika kwa kumtazama.

2. Tuwe tunatumia kondom,

hapo nakataa!!!
 
Dawa ni kuacha kabisa mpaka upate mwenza wa maisha. Wenye wenza wabaki njia kuu wasipite service road
 
Habari wanajamvi?

Jana nilifika hospitali fulani hapa mwanza kumuona dakitari katika shida zangu binafsi, nikakaa katika sehemu ya kupumzikia wagonjwa nikisubili aniite, nikiwa nimejichanganya eneo hilo nikapata nafasi ya kubadilishana namba na binti mmoja, mida ikafika mwenyeji wangu akaniita, katika process za kuagana aliniambia, ''wale pale ni waathirika, wanasubiri dawa zao'' nilishangaa sana kwani walikuwa na afya nzuri, walikuwepo wakinamama, watoto, kinababa, mabinti warembo wenye viuno, waliojipamba wakapambika.

Jioni nilipata simu kutoka kwa yule dada kwenye maongezi nilimweleza shida iliyonifikisha hospitalini, nae aliniambia ukweli alikuwa pale kupata dawa zao na aliniomba tukutane J'pili anataka kunieleza jambo.

Kitu kinachonisumbua kichwani tangu jana kila nikimwona binti mrembo ninamwona kama muathirika na pia NIMEJIFUNZA:

1. Kamwe sio rahisi kumtambua muadhirika kwa kumtazama.

2. Tuwe tunatumia kondom,

Huyo dokta ni baba yako?

Unamfahamuje hadi aweze kukupa taarifa za wagonjwa wake?

Hana weledi kabisa huyo.
 
Hivi mnajua kuwa ukimwi unaongezeka kwa kasi kubwa kwa sababu watu wanadhani ngono tu ni chanzo cha ukimwi. Kwa taarifa kati ya watu 100 waliopata ukimwi kwa ngono ni 40 na 60 ni kwa njia nyingine tofauti. Ndio maana watu wanaogopa kupima hata kama hajawahi kufanya ngono.
 
Hivi mnajua kuwa ukimwi unaongezeka kwa kasi kubwa kwa sababu watu wanadhani ngono tu ni chanzo cha ukimwi. Kwa taarifa kati ya watu 100 waliopata ukimwi kwa ngono ni 40 na 60 ni kwa njia nyingine tofauti. Ndio maana watu wanaogopa kupima hata kama hajawahi kufanya ngono.

Kwa utafiti upi ? Na hizo njia nyingine ni zipi?
 
Habari wanajamvi?

Jana nilifika hospitali fulani hapa mwanza kumuona dakitari katika shida zangu binafsi, nikakaa katika sehemu ya kupumzikia wagonjwa nikisubili aniite, nikiwa nimejichanganya eneo hilo nikapata nafasi ya kubadilishana namba na binti mmoja, mida ikafika mwenyeji wangu akaniita, katika process za kuagana aliniambia, ''wale pale ni waathirika, wanasubiri dawa zao'' nilishangaa sana kwani walikuwa na afya nzuri, walikuwepo wakinamama, watoto, kinababa, mabinti warembo wenye viuno, waliojipamba wakapambika.

Jioni nilipata simu kutoka kwa yule dada kwenye maongezi nilimweleza shida iliyonifikisha hospitalini, nae aliniambia ukweli alikuwa pale kupata dawa zao na aliniomba tukutane J'pili anataka kunieleza jambo.

Kitu kinachonisumbua kichwani tangu jana kila nikimwona binti mrembo ninamwona kama muathirika na pia NIMEJIFUNZA:

1. Kamwe sio rahisi kumtambua muadhirika kwa kumtazama.

2. Tuwe tunatumia kondom,
Tatizo lenu mkichepuka mnataka mpaka msmamie ukucha kutia heshima,we piga takko zako 5 mwaga sumu,tembea mbele,shida ya nn sasa?!!!

Ni ushauri tu...
 
Ha ha ha ha ni kweli kabisa lakini ukiisoma hii thread fresh inaonekana daktari alimuona huyu kijana kaanza papara kwa yule bint mpk kuchukua no imebidi amwambie ili atulize mpira

uzuri binadamu tumeumbiwa kusahau , msimamo aliouandika jamaa hapo juu nampa wiki tu atakuwa ameshasahau kila kitu na michepuko ya kula mbichi mbichi itatamalaki kwenye njia yake.

kuna jamaa aliwahi kumpigia daktari simu amuangalizie mdada mmoja anaumwa nini kwani wodi aliyolazwa mara nyingi asilimia kubwa ni waathirika wa ngoma............

Daktari kakuta dada muathirika na yupo kwenye ARV miaka 7.
 
Utasahau tu....tuliahacheza rough sana tukajua Ndio tunapewa red card lakini wapi bhana! Hii kitu lazima ianzie akilini kwako n moyoni na ukubali kubadilika out of that zitabaki story. Nilishabadilika since then, wewe je?
 
hivi mnajua kuwa ukimwi unaongezeka kwa kasi kubwa kwa sababu watu wanadhani ngono tu ni chanzo cha ukimwi. Kwa taarifa kati ya watu 100 waliopata ukimwi kwa ngono ni 40 na 60 ni kwa njia nyingine tofauti. Ndio maana watu wanaogopa kupima hata kama hajawahi kufanya ngono.

acha kupotosha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom