Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Magufuli ndio nani huyoNyinyi ndiyo magufuli anawatafuta mnaficha hela majumbani mwenu mnasababisha hela haipo mtaani ngoja nikuchome
Magufuli ndio nani huyoNyinyi ndiyo magufuli anawatafuta mnaficha hela majumbani mwenu mnasababisha hela haipo mtaani ngoja nikuchome
Hafai kabisa maana wenzake wana hikiMmhh nimetamani. Ila kukaa na kibubu kazi kweli,ukipata shida unakibomoa kwa style zote.
ha ahahahhaMmhh nimetamani. Ila kukaa na kibubu kazi kweli,ukipata shida unakibomoa kwa style zote.
Na ninamwambia umesema humjui wakati Twaweza wamesema anakubalika.Magufuli ndio nani huyo
Hafai kabisa maana wenzake wana hiki
wee vipo mkuu, umesahau mwanzoni mwa utumbuaji yule jamaa wa nyumba 70's alikutwa na madola ya hivi ndani kwake?Mmh wewe hapo benki bana. Yaan mtu akae nazo zote hizo home. Majanga ya kujitakia
wee vipo mkuu, umesahau mwanzoni mwa utumbuaji yule jamaa wa nyumba 70's alikutwa na madola ya hivi ndani kwake?
Na ninamwambia umesema humjui wakati Twaweza wamesema anakubalika.
Ntaroga mtuIla ubaya sasa wataalamu wakuotee
mbona kibubu klimeenda vunjwa kizani?.. akijitahidi kidogo tu mwaka huu atashindana na bot kwa ile sifa ya bank of bankers.