Rafiki yangu ananishauri niiuze nyumba ya Kinondoni na ninunue Dubai

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,426
20,466
Rafiki yangu wa ukweli tena mwenye mabadiliko yanayoonekana dhahiri ananipa mawazo hayo. Ananiambia utakaponunua nyumba huko na ukaikodisha nyumba hiyo huweza kukupa 10% ya puchasing prices kila mwaka, ambacho ndicho kiasi halisi kinachokubalika duniani ambacho assets hutaliwa kutupa, kulingana na assets tunazokuwa nazo,
so am in quizz!.

NB: Yeye binafsi amejikodia apartment Masaki na anaishi kwa furaha kweli huku akijenga banda lingine kidogo kidogo na biashara za hapa na pale.

Is this formula really applicable? Kabla sijafanya maamuzi magumu.
N.b:-Naamini hapa nitajifunza jambo kuhusu mindset zetu watanzania na umuhimu wa kuwa na exposure.
 
Hebu soma ripoti hii toka kwa UBS Global Wealth Management kuhusu Housing market ya Dubai.

Dubai’s housing market remains “oversupplied” despite the drop in prices over the last few years, a new report by investment firm UBS Global Wealth Management has found.

The market in Dubai is now “fairly priced” found UBS’ bubble index 2019, which analysed residential property prices in 24 major cities around the world.

“The property market in Dubai boomed between 2010 and 2014, supported by strong economic growth driven by high oil prices. To curb the boom, the authorities introduced higher transaction fees and tighter mortgage standards. Consequently, real prices have fallen by almost 35 per cent since mid-2014, paralleling the weakness in oil prices,” the report stated.

“Affordability has improved even though incomes have declined amid slower economic growth. Despite posting the strongest population growth among all cities in the study, the market remains oversupplied. Easier visa requirements and next year’s Expo should support the market,” it added.

Ali Janoudi, head of Central and Eastern Europe, the Middle East and Africa at UBS added: “We expect prices to find a bottom soon but we would still encourage all investors to be diligent in their real estate research.”

Globally, the risk of a housing bubble was found to be the greatest in Munich, followed by Toronto, Hong Kong and Amsterdam.

Frankfurt, Vancouver and Paris were also found to be in “bubble risk territory”, while major imbalances were found in Zurich, London, San Francisco, Tokyo and Stockholm, the report said.

Valuations were stretched in Los Angeles, Sydney, Geneva, New York, Madrid and Moscow.

Property markets in Singapore, Boston and Milan seem “fairly valued” while Chicago remains undervalued, it added.

Mark Haefele, CIO at UBS said: “On a global level, economic uncertainty is outweighing the effect of falling interest rates on urban housing demand. However, in parts of the Eurozone, low rates have still helped to push real estate valuations into bubble risk territory.”

On average, in cities analysed, inflation-adjusted price increases have practically come to a standstill in the last four quarters, the report found.

Residential property only appreciated markedly in Moscow, Boston and Eurozone cities, with Frankfurt the only city to see double-digit price increases. By contrast, there were corrections of over 5 per cent over the previous year in Sydney, Vancouver and Dubai.

Claudio Saputelli, head of Real Estate at UBS said: “The worldwide collapse in interest rates will not come to the housing markets’ rescue. Mortgage interest rates in many cities aren’t the major challenge for house buyers anymore.

“Many households simply lack the funds required to meet the banks’ financing criteria, which we believe poses one of the biggest risks to property values in urban centres.”

Overall, the absence of economic viability has led to a deterioration in many cities’ attractiveness, the report said.

Even though the underlying factors favouring city properties, including urbanisation, the digital revolution and artificial supply constraints still hold good, real price appreciation can no longer be taken for granted, it added.

“Investors should remain cautious when considering housing markets in bubble risk territory. Regulatory measures to curb further appreciation have already triggered market corrections in some of the most overheated cities,” said Matthias Holzhey, lead author of the study.
 
Uza halafu nenda dubai ukatapeliwe hela fyuuuu

ukirudi kufungua thread ya kulia kwa id nyingine kuomba msaada

nikiunga dot zangu nikikushtukia nakuumbua,nakwambia
 
Kabla ya kufanya hivyo inabidi ujiridhishe na hayo anayokuambia maana hujui mwenzako alipenya vipi mpaka kununua nyumba huko. Je, bei utakayouzia nyumba yako itahimili kununua nyumba Dubai ?
so wiseful...!
 
Aisee, Ngoja nikushauri kitu, huna haja ya kuuza huku na kununua kule,jaribu kununue kule bila kuuza huku.
kifungo cha kifikra ni kifungo kibaya kulicho kifungo chochote kile,the world is our,shida yetu pia mtu ukishajizoelea kuishi zako mwananyamala una insert mahala hapo akili zako zote,mindset yako yote hapo na kupatukuza hapo kama mungu wa mbinguni..
HII NI SHIDA SANA,WENGINE WANAITA UDUMADU.
pia mfumo wa sasa wa kibiashara tz si sawa.
 
Uza halafu nenda dubai ukatapeliwe hela fyuuuu

ukirudi kufungua thread ya kulia kwa id nyingine kuomba msaada

nikiunga dot zangu nikikushtukia nakuumbua,nakwambia
Jamani hili jamvi siyo la kusanifiana. Kama huna ushauri wa kumpa ndugu yetu basi pitiliza tu.
 
Uuzee nyumba bongo (dar kinondoni) ukanunue nyumba Dubai?

Za kuambiwa changanya na zako.Unangekuwa karibu yangu ungekula kelebu moja matata!!

Hahahahaha!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom