Rafiki yangu amemfuma mke wake na katoto kenye miaka 16

Kama ivi??😅
FB_IMG_16266229296161940.jpg
 
Imetokea jana jamaa katoka chimbo usiku kamkuta wife wake juu ya kifua cha katoto
wife hakujua jamaa anarudi siku hiyo.

Kinacho nishangaza ni kwamba mke wa rafiki yangu ana mimba kubwa tu.




Hivi ile miaka30 inawahusu wanaume tuu???
 
Back
Top Bottom