wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,341
R.I.P kamanda ukienda ufike salama ukibahatika kukutana na mzee wetu mwambie hali halisi ya uchaguzi wa mwaka huu usimfiche kitu.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P kamanda ukienda ufike salama ukibahatika kukutana na mzee wetu mwambie hali halisi ya uchaguzi wa mwaka huu usimfiche kitu.!
Umembaini....huyo ni wewe
usitudanganye
blaza wewe anza kabidhi kama kuna urithi andika mirathi,kama huna mali basi subiri kifo
by the way,kula vizuri fanya mazoezi pumzisha mwili wako,ukizingatia hayo utaishi kwa matumaini
Mweleze ukweli acha kulemba lemba!!!Ndugu wachangiaji kwa michango mnayotoa mnaweza kumpa huyo jamaa matatizo makubwa kuliko aliyokuwa nayo tayari.
Mkuu vipimo ni muhimu sana. Ili uweze kuendea hatua yyte inayofuata. Usijari hii michango ya baadhi ya watu wanaokatisha tamaa humu. Wengine humu si wa kuwazingatia saaana wasemacho. Mkuu jipe moyo mkuu...ukimwi ni kawaida siku hizi just don't panick...
Hahaha sawa sawa.sawa nimekusamehe
enenda zako usirudie tena
Ndugu wachangiaji kwa michango mnayotoa mnaweza kumpa huyo jamaa matatizo makubwa kuliko aliyokuwa nayo tayari.
Mkuu vipimo ni muhimu sana. Ili uweze kuendea hatua yyte inayofuata. Usijari hii michango ya baadhi ya watu wanaokatisha tamaa humu. Wengine humu si wa kuwazingatia saaana wasemacho. Mkuu jipe moyo mkuu...ukimwi ni kawaida siku hizi just don't panick...
aanze kwenda kuchukua rokoooo sio 🤣kapime uone kama unao uanze kwenda lokoo za alhamisi
naona sauti kama inamwita rokooo😂😂😂aanze kwenda kuchukua rokoooo sio 🤣
kwahyo tuanze kulamba tu mabamedi wenye vyeti vyao kisa kuna chuma cha ubongo au ajali ya daladala?Mkuu umeandika kitu kikubwa sana,uko sahihi.
hapana,hapo kamaanisha mtu akiwa anaishi na VVU asitolewe maneno au dhihaka utakufa wewe sababu kifo kila mmoja anasiku yake naweza mimi ambaye sina nikatangulia kufa nikamwacha mwenye VVU.kwahyo tuanze kulamba tu mabamedi wenye vyeti vyao kisa kuna chuma cha ubongo au ajali ya daladala?