jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Rafiki yangu mmoja alipata mpenzi bila ya tabu kutokana na kanga yenye ujumbe huu.Walipanga pamoja kwenye nyumba na siku moja alimpelekea kanga hii na kumwambia ni zawadi kwake.Siku ya pili alipokea ujumbe wa simu kuwa ombi lake limekubaliwa na anahitajika kwa ajili ya interview.Rafiki yangu alifaulu vema interview yake na tangu siku hiyo anakula mzigo.