Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,910
Unapokuwa na wanaume inakuwa aje? Huwezi kuongea au kuchangia lolote?Hii situation ni yangu kabisaaaaaa, lakini me sikudhalilishwa ilikuwa kwangu binafsi, ilinitokea nikiwa o level, kwani maisha yangu utotoni nikuwa napenda kukaa na jinsia ya kike, kucheza na wasichana, hata primary marafiki zangu walikuwa ni wasichana, shida ilikuja nilivofaulu na kuchaguliwa kujiunga kidato Cha 1 katika shule ya wavulana tupu halafu pia ni ya Bweni, nilipata shida katika namna ya kuishi pale kutokana kuwa na mazoea na jinsia ya kike iliahali pale ilikua ni kiume pekee, hivyo nikawa najitenga tuu na kuwa pekee Hadi nikamaliza kidato cha 4, pia nilivoenda advance Hali ilikuwa hivyohivyo, na Hadi leo nimekuwa mtu wa kujitenga tuu nitakuwa na watu pale sehemu maalumu na kwa uhitaji, vinginevyo nakaa pekee angu na kikubwa zaidi sipendi mazoea na watu hasa jinsia yangu ya kiume. Marafiki zangu ni wasichana tyuuh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya hao wasichana, kuna ambaye sio rafiki, ni mpenzi wako?
Sent using Jamii Forums mobile app